Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mar 13, 2026 10:06

    Mamilioni ya wananchi wa Iran katika pembe zote za nchi wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa, huku tawala za kitwaghuti za Marekani na Israel zikiendelea kushambulia kwa mabomu miji mbali mbali ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Mar 07, 2026 09:29

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Feb 28, 2026 02:19

    Jeshi la Israel jana lilipeleka idadi kubwa ya wanajeshi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, hasa katika vituo vya ukaguzi vinavyoelekea katika mji wa Quds (Jerusalem), sanjari na kuimarisha vizuizi dhidi ya Wapalestina waliotaka kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Feb 21, 2026 11:07

    Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Feb 20, 2026 13:07

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, huku mamia ya watu wakipanga foleni kwenye kizuizi cha Qalandiya karibu na Ramallah wakitarajia kuingia.

  • Jumapili, Septemba 28, 2025

    Jumapili, Septemba 28, 2025

    Sep 28, 2025 02:24

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hiijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2025 Miladia.

  • Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Aug 21, 2025 02:59

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2025.

  • Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Aug 06, 2025 03:55

    Naibu Mkuu wa Idara ya Masuala ya Dini ya Kiislamu ya Russia kwa ajili ya Masuala ya Kimataifa na Hija na Mufti wa Mkoa wa Moscow amesema: Waislamu wa Russia wanaitambua hatua ya Itamar Ben-Gvir ya kuvamia na kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa ya kichochezi.

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 05:52

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 04, 2025 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Russia: Mashambulizi yasiyo na sababu ya US na Israel dhidi ya Iran ni hujuma dhidi ya mfumo wa usalama wa kanda na kimataifa

    Russia: Mashambulizi yasiyo na sababu ya US na Israel dhidi ya Iran ni hujuma dhidi ya mfumo wa usalama wa kanda na kimataifa

    2 hours ago
  • Araqchi: Ukosefu wa usalama katika Ghuba ya Uajemi ni matokeo ya uchokozi wa adui

  • CENTCOM: Wanajeshi wetu waliojeruhiwa katika vita dhidi ya Iran wamefika 290

  • Umeme wakatwa kaskazini mwa Tel Aviv kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran

  • Manuwari ya USS Abraham Lincoln yalengwa kwa makombora ya Cruise ya jeshi la Iran

Chaguo La Mhariri
  • Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    1 day ago
  • Taarifa ya Ayatullah Hajj Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, Kuhusu Hatua Isiyofaa ya Al-Azhar

    Taarifa ya Ayatullah Hajj Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, Kuhusu Hatua Isiyofaa ya Al-Azhar

    2 days ago
  • Mwisho wa makubaliano ya Atlantiki; kwa nini Marekani imetengwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran?

    Mwisho wa makubaliano ya Atlantiki; kwa nini Marekani imetengwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran?

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Brigedia Jenerali Rezaei amwambia Trump: Ukipiga miondombinu yetu hatutalipiza kisasi cha jicho kwa jicho, bali kichwa kwa jicho

  • Jeshi la Iran: Droni za adui zilizotunguliwa hadi sasa ni 132

  • Rais Pezeshkian: Ukosefu wa usalama Lango la Hormuz ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran

  • Wamarekani wakosoa sera za vita za Trump, wasema: Uhai wa wanajeshi umewekwa hatarini kwa sababu tu ya Israel

  • Mgogoro wa nishati waiathiri Ulaya; Slovenia mafuta yanatolewa kwa mgao

  • Msemaji wa Jeshi la Iran: Msiite kushindwa kuwa ni makubaliano

  • Trump aondoa vitisho baada ya onyo kali kutoka Iran

  • Makombora ya Iran yalenga Kamandi ya Kijeshi ya Israel na Manoari na Marekani ya Abraham Lincoln

  • Jeshi la Iran lauonya utawala lauonya utawala wa Israel kuhusu mauaji ya raia Palestina, Lebanon

  • Majibu ya Qalibaf kwa madai ya uongo ya Trump: Watu wa Iran wanataka wavamizi waadhibiwe kikamilifu

  • Manuwari ya USS Abraham Lincoln yalengwa kwa makombora ya Cruise ya jeshi la Iran

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS