Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mar 13, 2026 10:06

    Mamilioni ya wananchi wa Iran katika pembe zote za nchi wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa, huku tawala za kitwaghuti za Marekani na Israel zikiendelea kushambulia kwa mabomu miji mbali mbali ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Mar 07, 2026 09:29

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Feb 28, 2026 02:19

    Jeshi la Israel jana lilipeleka idadi kubwa ya wanajeshi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, hasa katika vituo vya ukaguzi vinavyoelekea katika mji wa Quds (Jerusalem), sanjari na kuimarisha vizuizi dhidi ya Wapalestina waliotaka kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Feb 21, 2026 11:07

    Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Feb 20, 2026 13:07

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, huku mamia ya watu wakipanga foleni kwenye kizuizi cha Qalandiya karibu na Ramallah wakitarajia kuingia.

  • Jumapili, Septemba 28, 2025

    Jumapili, Septemba 28, 2025

    Sep 28, 2025 02:24

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hiijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2025 Miladia.

  • Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Aug 21, 2025 02:59

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2025.

  • Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Aug 06, 2025 03:55

    Naibu Mkuu wa Idara ya Masuala ya Dini ya Kiislamu ya Russia kwa ajili ya Masuala ya Kimataifa na Hija na Mufti wa Mkoa wa Moscow amesema: Waislamu wa Russia wanaitambua hatua ya Itamar Ben-Gvir ya kuvamia na kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa ya kichochezi.

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 05:52

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 04, 2025 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Msemaji wa IRGC: Uzalishaji wa makombora unaendelea hata wakati wa vita

    Msemaji wa IRGC: Uzalishaji wa makombora unaendelea hata wakati wa vita

    28 minutes ago
  • Meya wa New York: Ninapinga mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran

  • Kivuli cha mauti juu ya mawaziri wa Marekani; ndege zisizo na rubani zamuandama Rubio na Hegseth

  • Iran yamjibu waziri wa mambo ya nje wa Saudia

  • Onyo la Pezeshkian kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni: Moto wa mgogoro huu utaathiri wengi

Chaguo La Mhariri
  • Dunia ya Siku Zijazo

    Dunia ya Siku Zijazo

    20 hours ago
  • Mfumo Mpya wa Dunia

    Mfumo Mpya wa Dunia

    3 days ago
  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu Mpya wa Iran

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu Mpya wa Iran

    7 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani

  • Iran yamjibu waziri wa mambo ya nje wa Saudia

  • Jeshi la Iran lalenga ndege ya kivita ya Marekani aina ya F‑35

  • Pezeshkian: Taathira za mashambulizi dhidi ya miundo mbinu ya nishati ya Iran zitaitatiza dunia nzima

  • Siku ya ishirini ya mapambano; Wazayuni na Wamarekani watenda jinai katika kinamasi

  • UN yalaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya taasisi za gesi na nishati za Iran

  • Indhari ya Gavana wa Benki Kuu ya US kuhusu taathira za kupanda gharama za maisha kutokana na vita na Iran

  • Onyo la Pezeshkian kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni: Moto wa mgogoro huu utaathiri wengi

  • Baqaei: Raia wote wa US wanapaswa kutangaza kuchukizwa na vita haramu vya Trump

  • Dunia ya Siku Zijazo

  • Ujumbe wa Rambirambi wa Kiongozi Muadhamu Kufuatia kuuawa shahidi Dkt.Larijani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS