Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 05:52

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 04, 2025 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    May 12, 2025 11:14

    Taasisi ya 'Wakfu wa Shuhada' ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imewakumbuka na kuwaenzi mashahidi 27 waliouawa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo wakati wa maandamano ya amani ya Siku ya Quds ya 2025 huko Abuja, na kusisitiza kujitolea kwao kwa kadhia ya Palestina.

  • Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Apr 30, 2025 02:31

    Waziri wa wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, Itamar Ben-Gvir, ameamuru kufungwa kwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds katika eneo la Quds Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni; huu ukiwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kimataifa, ukiashiria hatua nyingine ya kichokozi inayowalenga Wapalestina katika eneo hilo.

  • Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa  Al-Aqsa uripuliwe

    Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa Al-Aqsa uripuliwe

    Apr 20, 2025 05:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa indhari kutokana na kuongezeka uchochezi unaofanywa na makundi ya walowezi wa Kizayuni wa mrengo wa kulia wanaotaka kubomolewa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Baitul-Muqaddas Mashariki inayokaliwa kwa mabavu.

  • Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Apr 16, 2025 02:21

    Katika siku ya tatu ya sikukuu ya pasaka ya Kiyahudi, walowezi elfu moja wa Kizayuni, huku wakisindikizwa na kupewa ulinzi na wanajeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia eneo la Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas Mashariki unaokaliwa kwa mabavu.

  • Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Apr 02, 2025 11:30

    Duru za habari zimeripoti kuwa, waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni mwenye misimamo mikali ya chuki amevamia tena Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa huku akilindwa na kusindikizwa na vikosi vya usalama vya utawala huo ghasibu.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds

    Mar 28, 2025 07:45

    Wananchi Waislamu wa Iran kote nchini wamejitokeza kwa mamilioni kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha mshikamano na Palestina, na kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds ya mwaka huu itakuwa ya aina yake

    Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds ya mwaka huu itakuwa ya aina yake

    Mar 28, 2025 03:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu yanayofanyika leo Ijumaa ya Machi 28 kote duniani yana umuhimu mkubwa kuliko miaka iliyopita.

  • Hamas yataka walimwengu wajitokeze kwa wingi kuiunga mkono Palestina Siku ya Quds

    Hamas yataka walimwengu wajitokeze kwa wingi kuiunga mkono Palestina Siku ya Quds

    Mar 27, 2025 11:09

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kuhamasishwa walimwengu kujitokeza kwa wingi katika siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kuonyesha mshikamano na Gaza na al-Quds wakati huu ambapo Israel, kwa uungaji mkono wa Marekani, inaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina Gaza, mkabala wa kimya cha dunia.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yaghariki katika maomboleza ya Tasua ya Imam Hussein AS

    Iran yaghariki katika maomboleza ya Tasua ya Imam Hussein AS

    7 hours ago
  • Israel yaua shahidi Wapalestina 64 katika Ukanda wa Gaza

  • Hamas yaonya, Msikiti wa al-Aqsa ni mstari mwekundu wa Muqawama

  • Equatorial Guinea yaishtaki Ufaransa kwa mahakama ya UN kwa uporaji

  • Hizbullah: Muqawama nchini Lebanon kamwe hautasalimu amri

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Israel?

    Kwa nini Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Israel?

    7 hours ago
  • Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    19 hours ago
  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

  • Afisa wa Israel: Kujenga upya uharibifu uliotokana na mashambulio ya Iran kutachukua miaka

  • Iran: Marekani itashindwa kumuokoa Netanyahu na kipigo kijacho cha ‘kupoozesha’

  • Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni

  • Askari wapatao 40 Israel waangamizwa na kujeruhiwa katika mzingiro Ghaza

  • IRGC yaonya Israel: Iran haitazingatia 'mistari miekundu' ikishambuliwa tena

  • Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

  • Barua ya siri ya Trump itairuhusu Israel kuanzisha vita tena Ghaza hata vikisitishwa

  • Lavrov: Makubaliano kuhusu Ukraine lazima yadhamini usalama wa Russia

  • Rais Ruto akiri kujenga kanisa ndani ya Ikulu ya Rais, asema: Sitaomba msamaha

  • Iran: Marekani ithibitishe dhamira yake ya diplomasia kabla ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS