Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mar 13, 2026 06:36

    Mamilioni ya wananchi wa Iran katika pembe zote za nchi wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa, huku tawala za kitwaghuti za Marekani na Israel zikiendelea kushambulia kwa mabomu miji mbali mbali ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka

    Mar 07, 2026 05:59

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa

    Feb 27, 2026 22:49

    Jeshi la Israel jana lilipeleka idadi kubwa ya wanajeshi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, hasa katika vituo vya ukaguzi vinavyoelekea katika mji wa Quds (Jerusalem), sanjari na kuimarisha vizuizi dhidi ya Wapalestina waliotaka kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa

    Feb 21, 2026 07:37

    Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa

    Feb 20, 2026 09:37

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, huku mamia ya watu wakipanga foleni kwenye kizuizi cha Qalandiya karibu na Ramallah wakitarajia kuingia.

  • Jumapili, Septemba 28, 2025

    Jumapili, Septemba 28, 2025

    Sep 27, 2025 22:54

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hiijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2025 Miladia.

  • Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Aug 20, 2025 23:29

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2025.

  • Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Aug 06, 2025 00:25

    Naibu Mkuu wa Idara ya Masuala ya Dini ya Kiislamu ya Russia kwa ajili ya Masuala ya Kimataifa na Hija na Mufti wa Mkoa wa Moscow amesema: Waislamu wa Russia wanaitambua hatua ya Itamar Ben-Gvir ya kuvamia na kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa ya kichochezi.

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 02:22

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 03, 2025 23:17

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano

    Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano

    22 hours ago
  • Rais Pezeshkian apongeza hati ya makualiano na Marekani; asema ni ushahidi wa 'Iran yenye nguvu'

  • Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza

  • Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori

  • Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel

Chaguo La Mhariri
  • Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen

    Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen

    13 hours ago
  • Imam wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran: Utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo

    Imam wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran: Utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo

    14 hours ago
  • Mkataba wa Maelewano na Iran: Mwisho wa nguvu ya Dola la Marekani

    Mkataba wa Maelewano na Iran: Mwisho wa nguvu ya Dola la Marekani

    14 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano

  • 'Kujisalimisha kikamilifu' kwa Iran: Wabunge wa Marekani washambulia MoU ya Trump na Iran

  • Marais wa Iran na Marekani watia saini kidijitali Makubaliano ya kumaliza vita

  • Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon

  • Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi

  • "Bila Israel, kusingekuwa na Marekani"; Balozi wa Washington huko Tel Aviv aibua hasira za Wamarekani

  • Je, vita vya Iran vilisambaratisha vipi ngano ya nguvu isiyoshindwa ya Marekani?

  • Rais Pezeshkian apongeza hati ya makualiano na Marekani; asema ni ushahidi wa 'Iran yenye nguvu'

  • Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel

  • Shirika la Anga za Juu la Iran kuzindua satalaiti ya Pars-2

  • Uamuzi wa mahakama ya Zimbabwe kuhusu marekebisho ya katiba wazua hisia tofauti

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS