Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 05:52

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 04, 2025 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    May 12, 2025 11:14

    Taasisi ya 'Wakfu wa Shuhada' ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imewakumbuka na kuwaenzi mashahidi 27 waliouawa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo wakati wa maandamano ya amani ya Siku ya Quds ya 2025 huko Abuja, na kusisitiza kujitolea kwao kwa kadhia ya Palestina.

  • Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Apr 30, 2025 02:31

    Waziri wa wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, Itamar Ben-Gvir, ameamuru kufungwa kwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds katika eneo la Quds Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni; huu ukiwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kimataifa, ukiashiria hatua nyingine ya kichokozi inayowalenga Wapalestina katika eneo hilo.

  • Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa  Al-Aqsa uripuliwe

    Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa Al-Aqsa uripuliwe

    Apr 20, 2025 05:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa indhari kutokana na kuongezeka uchochezi unaofanywa na makundi ya walowezi wa Kizayuni wa mrengo wa kulia wanaotaka kubomolewa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Baitul-Muqaddas Mashariki inayokaliwa kwa mabavu.

  • Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Apr 16, 2025 02:21

    Katika siku ya tatu ya sikukuu ya pasaka ya Kiyahudi, walowezi elfu moja wa Kizayuni, huku wakisindikizwa na kupewa ulinzi na wanajeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia eneo la Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas Mashariki unaokaliwa kwa mabavu.

  • Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Apr 02, 2025 11:30

    Duru za habari zimeripoti kuwa, waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni mwenye misimamo mikali ya chuki amevamia tena Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa huku akilindwa na kusindikizwa na vikosi vya usalama vya utawala huo ghasibu.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds

    Mar 28, 2025 07:45

    Wananchi Waislamu wa Iran kote nchini wamejitokeza kwa mamilioni kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha mshikamano na Palestina, na kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds ya mwaka huu itakuwa ya aina yake

    Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds ya mwaka huu itakuwa ya aina yake

    Mar 28, 2025 03:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu yanayofanyika leo Ijumaa ya Machi 28 kote duniani yana umuhimu mkubwa kuliko miaka iliyopita.

  • Hamas yataka walimwengu wajitokeze kwa wingi kuiunga mkono Palestina Siku ya Quds

    Hamas yataka walimwengu wajitokeze kwa wingi kuiunga mkono Palestina Siku ya Quds

    Mar 27, 2025 11:09

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kuhamasishwa walimwengu kujitokeza kwa wingi katika siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kuonyesha mshikamano na Gaza na al-Quds wakati huu ambapo Israel, kwa uungaji mkono wa Marekani, inaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina Gaza, mkabala wa kimya cha dunia.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Spika wa Bunge la Iran: Jibu letu kwa utawala wa kizayuni wa Israel lilikuwa kali

    Spika wa Bunge la Iran: Jibu letu kwa utawala wa kizayuni wa Israel lilikuwa kali

    1 hour ago
  • 'Umoja kati ya dini za Ibrahim ndilo jibu pekee kwa dhulma duniani'

  • Bunge la Ujerumani latilia shaka uhalali wa mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

  • Yemen yazamisha meli nyingine ikielekea Israel katika Bahari Nyekundu

  • Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    2 hours ago
  • Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel

    Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel

    15 hours ago
  • Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?

    Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran: Trump anaongopa kudai kuwa tumeomba tufanye mazungumzo

  • Russia: Kurutubisha Iran urani kwa 60% ni mjibizo kwa vikwazo ilivyowekewa

  • ‘Ndoto ya Ushindi’: Mwanahabari wa Israel afichua walivyolazmishwa kubana habari za vipigo vya Iran

  • Meja Jenerali Mousavi: Jeshi la Iran lilikabiliana na uvamizi wa Israel, US kwa 'nguvu kamili'

  • Waislamu Uholanzi wamtimua Imamu aliyeimba wimbo wa taifa wa Israel mbele ya Herzog

  • Rais Pezeshkian: Israel ilijaribu kuniua, siogopi kifo

  • Jeshi la IRGC Laangamiza magaidi sita katika operesheni kusini mashariki mwa Iran

  • Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?

  • Rais wa Afrika Kusini ajibu bwabwaja na vitisho vya Trump

  • Jeshi la Israel lakiri askari wake 5 wameangamizwa, 14 wamejeruhiwa Ghaza

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wafanya mazungumzo mjini Makka

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS