Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Jumapili, Septemba 28, 2025

    Jumapili, Septemba 28, 2025

    Sep 28, 2025 02:24

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hiijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2025 Miladia.

  • Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Alkhamisi, Agosti 21, 2025

    Aug 21, 2025 02:59

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2025.

  • Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Mufti wa Moscow: Kuingia waziri Mzayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni hatua ya kichochezi

    Aug 06, 2025 03:55

    Naibu Mkuu wa Idara ya Masuala ya Dini ya Kiislamu ya Russia kwa ajili ya Masuala ya Kimataifa na Hija na Mufti wa Mkoa wa Moscow amesema: Waislamu wa Russia wanaitambua hatua ya Itamar Ben-Gvir ya kuvamia na kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa ya kichochezi.

  • Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 28, 2025 05:52

    Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.

  • Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jordan yawashutumu walowezi wa Israel kuingia kwa nguvu Al-Aqsa

    Jun 04, 2025 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje na Masuala ya Wageni ya Jordan imelaani vikali vitendo vya mara kwa mara vya walowezi wa Kizayuni kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

    May 12, 2025 11:14

    Taasisi ya 'Wakfu wa Shuhada' ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imewakumbuka na kuwaenzi mashahidi 27 waliouawa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo wakati wa maandamano ya amani ya Siku ya Quds ya 2025 huko Abuja, na kusisitiza kujitolea kwao kwa kadhia ya Palestina.

  • Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Ben-Gvir aagiza kufungwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds

    Apr 30, 2025 02:31

    Waziri wa wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, Itamar Ben-Gvir, ameamuru kufungwa kwa ofisi ya Mfuko na Wakfu wa al-Quds katika eneo la Quds Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni; huu ukiwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kimataifa, ukiashiria hatua nyingine ya kichokozi inayowalenga Wapalestina katika eneo hilo.

  • Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa  Al-Aqsa uripuliwe

    Palestina: Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya chuki wanachochea Msikiti wa Al-Aqsa uripuliwe

    Apr 20, 2025 05:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa indhari kutokana na kuongezeka uchochezi unaofanywa na makundi ya walowezi wa Kizayuni wa mrengo wa kulia wanaotaka kubomolewa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Baitul-Muqaddas Mashariki inayokaliwa kwa mabavu.

  • Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Walowezi 1000 wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa huku wakilindwa na wanajeshi wa Israel

    Apr 16, 2025 02:21

    Katika siku ya tatu ya sikukuu ya pasaka ya Kiyahudi, walowezi elfu moja wa Kizayuni, huku wakisindikizwa na kupewa ulinzi na wanajeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia eneo la Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas Mashariki unaokaliwa kwa mabavu.

  • Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Waziri mlowezi wa Kizayuni avamia tena Msikiti wa Al-Aqsa, Wapalestina wazuiwa wasiingie kusali

    Apr 02, 2025 11:30

    Duru za habari zimeripoti kuwa, waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni mwenye misimamo mikali ya chuki amevamia tena Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa huku akilindwa na kusindikizwa na vikosi vya usalama vya utawala huo ghasibu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    7 hours ago
  • Maelfu ya wafanyakazi waandamana Ireland kulaani jinai za Israel

  • Kagame: Nina matumaini mazungumzo yangu na Tshisekedi yatakuwa chanya

  • Sana’a yalaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Yemen

  • Makumi waaga dunia kwa mafuriko Indonesia, Thailand na Malaysia

Chaguo La Mhariri
  • Silaha za mauaji ya halaiki na sera za undumilakuwili za Washington na Tel Aviv, chanzo cha migogoro ya kiusalama Magharibi ya Asia

    Silaha za mauaji ya halaiki na sera za undumilakuwili za Washington na Tel Aviv, chanzo cha migogoro ya kiusalama Magharibi ya Asia

    13 hours ago
  • Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    16 hours ago
  • Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Marekani ina kiwewe cha kudukuliwa na Iran kombora lake la GBU-39B

  • Israel yawapokonya simu za Android makamanda wake wa kijeshi

  • Jeshi la Wanamaji la Iran kuzindia zana mpya za kivita

  • Wanajeshi Guinea-Bissau wamtangaza Jenerali Horta Inta-A kuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo

  • Oxfam: Nusu ya Wakenya katika umasikini; matajiri 125 wanamiliki utajiri wa watu milioni 42.6

  • Afrika Kusini yailaani Marekani kwa kuizuia kushiriki Mkutano wa G20 wa 2026

  • Je, Marekani ni nchi ya demokrasia au Jamhuri ya Mabilionea?

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani haina hadhi ya kuwa na uhusiano na Iran

  • Putin: Pendekezo la Marekani linaweza kuwa msingi wa makubaliano ya amani ya siku zijazo

  • Wakimbizi 115 wa Burundi warudishwa nyumbani kutokea Rwanda

  • Israel yatumia mfumo wa akili mnemba (AI) kufuatilia mitandao ya kijamii ya wanajeshi, ili kuzuia ushahidi wa uhalifu wa kivita

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS