Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    Jul 04, 2019 13:47

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeukodoa vikali utawala haramu wa Israel kwa kuchimba njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa mashariki mwa mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni hao.

  • Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Jun 30, 2019 12:59

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni jana usiku walivamia nyumba ya waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kumtia mbaroni.

  • Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 27, 2019 08:06

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekerwa na hatua ya Rais Sebastián Piñera wa Chile akishirikiana na Idara ya Wakfu ya Kiislamu ya Quds na viongozi wa ngazi ya juu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 10:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Jun 15, 2019 08:04

    Katibu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Romania amesema nchi hiyo ya Ulaya haina mpango wowote wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, kutoka Tel Aviv.

  • Ijumaa tarehe 7 Juni 2019

    Ijumaa tarehe 7 Juni 2019

    Jun 07, 2019 03:10

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Juni mwaka 2019.

  • Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Jun 04, 2019 06:27

    Qatar imelaani jinai ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kuuvamia Msikiti wa al Aqsa na kuwajeruhi Waislamu kadhaa waliokuwa wanasali msikitini humo kwa kushirikiana na wanajeshi katili wa Israel.

  • Hamas walaani uvamizi wa wanajeshi wa Israel ndani ya Msikiti wa al Aqsa + Video

    Hamas walaani uvamizi wa wanajeshi wa Israel ndani ya Msikiti wa al Aqsa + Video

    Jun 02, 2019 10:59

    Mjumbe mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani kitendo cha wanajeshi na walowezi wa Kizayuni cha kuvamia na kuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa na matukufu mengine ya Kiislamu.

  • Nasrallah: Vita dhidi ya Iran vitawasha moto eneo zima

    Nasrallah: Vita dhidi ya Iran vitawasha moto eneo zima

    Jun 01, 2019 04:02

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa vita dhidi ya Iran havitaishia katika mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu bali vitawasha moto katika eneo zima la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    Jun 01, 2019 03:57

    Kwa akali Wapalestina wawili waliuawa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Ijumaa, wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Reuters: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani itafanyika Jumanne, Geneva

    Reuters: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani itafanyika Jumanne, Geneva

    4 hours ago
  • Ripota maalumu wa UN: Hujuma dhidi yangu si chochote kulinganisha na mateso ya Wapalestina

  • Katibu Mkuu wa UN: Lazima Afrika iwe na sauti na iweze kunufaika na rasilimali zake

  • BNP kutangaza serikali mpya ya Bangladesh Jumapili, kuitaka India imrudishe Hasina

  • Rais Xi Jinping wa China: Tutaziondolea ushuru nchi za Afrika ifikapo mwezi Mei

Chaguo La Mhariri
  • Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    3 hours ago
  • Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar

    Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar

    12 hours ago
  • Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?

    Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yatuma satelaiti ya “Jam‑e Jam 1” angani, hatua muhimu kwa utangazaji wa kitaifa

  • Nguvu ya majini ya Iran; mseto wa nguvu za kijeshi, diplomasia, teknolojia na maadili ya kibinadamu

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Nchi tatu za Ulaya zilishiriki katika ghasia za Iran

  • Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?

  • Afrika Kusini: Ramaphosa atangaza kutumwa jeshi kukabiliana na jinai

  • Mkuu wa IAEA: Iran-mwanachama wa NPT, ina haki ya kurutubisha urani

  • Algeria yaanza operesheni ya kwanza ya kusafisha maeneo ya majaribio ya nyuklia ya Ufaransa

  • Kremlin: Russia haina mpango wa kushiriki mkutano wa 'Bodi ya Amani'

  • Maelfu waandamana Melbourne kulaani ziara ya rais wa 'Israel' nchini Australia

  • Rais wa mpito wa Venezuela: Maduro bado ndiye rais halali

  • Zaidi ya raia 2,000 wa UK wamepigana kwa niaba ya Israel katika mauaji ya halaiki Gaza

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS