Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Aug 11, 2019 22:14

    Walowezii zaidi ya 1700 wa Kiyahudi jana walivamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu katika siku ya Idul Adh'ha na kuwajeruhi makumi ya Waislamu waliokwenda eneo hilo takatifu kwa ajili ya kufanya ibada.

  • Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Aug 06, 2019 07:54

    Sheikh Mohamed Ahmed Hossein Mufti Mkuu wa mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na hujuma na uvamizi wa Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.

  • Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Aug 02, 2019 09:27

    Ujumbe ulioandikwa na mhadhiri mmoja mtetezi wa utawala wa Aal Saud katika ukurasa wa kijamii wa Twitter kwamba msikiti wa Al Aqsa hauna utukufu wowote umeamsha hasira na kushambuliwa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii ya intaneti.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jul 25, 2019 21:04

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Jul 23, 2019 03:07

    Jumuiya za kimataifa, harakati na asasi mbali mbali za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wapalestina kusini mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    Jul 04, 2019 09:17

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeukodoa vikali utawala haramu wa Israel kwa kuchimba njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa mashariki mwa mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni hao.

  • Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Jun 30, 2019 08:29

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni jana usiku walivamia nyumba ya waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kumtia mbaroni.

  • Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 27, 2019 03:36

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekerwa na hatua ya Rais Sebastián Piñera wa Chile akishirikiana na Idara ya Wakfu ya Kiislamu ya Quds na viongozi wa ngazi ya juu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 06:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Jun 15, 2019 03:34

    Katibu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Romania amesema nchi hiyo ya Ulaya haina mpango wowote wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    5 hours ago
  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Katibu Mkuu UN: Jitihada zaidi zinahitajika kutokomeza matumizi ya mihadarati

Chaguo La Mhariri
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    3 hours ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    2 days ago
  • Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma

  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

  • Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya

  • Wamarekani: Waasisi wangekatishwa tamaa na hali ya sasa ya nchi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS