Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI

    Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI

    May 31, 2019 14:50

    Mwenyekiti wa Kamati ya Kutetea Haki za Wapalestina nchini Tanzania Abdallah Othman, amemuomba Rais John Pombe Magufuli apaze sauti juu ya suala la kuwaunga mkono Wapelestina, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidhulumiwa katika ardhi yao.

  • Baqeri: Maandamano ya Quds yatasambaratisha njozi za Marekani kuhusu Palestina

    Baqeri: Maandamano ya Quds yatasambaratisha njozi za Marekani kuhusu Palestina

    May 31, 2019 05:58

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maandamano makubwa yatakayoshuhudiwa leo Ijumaa katika Siku ya Kimataifa ya Quds yatasambaratisha njozi na ndoto za alinacha za Marekani dhidi ya taifa la Palestina.

  • Zarif: Quds haiuzwi

    Zarif: Quds haiuzwi

    May 30, 2019 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Quds haiuzwi na ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kituo cha matarajio ya Waislamu wote.

  • Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Sala

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Sala

    May 20, 2019 10:12

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Waislamu Wapalestina waliokuwa wakiswali katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem).

  • Jordan kumuita balozi wake wa Romania kupinga hatua ya nchi hiyo dhidi ya Quds

    Jordan kumuita balozi wake wa Romania kupinga hatua ya nchi hiyo dhidi ya Quds

    Apr 18, 2019 03:59

    Jordan imesema kuwa itamuita nyumbani balozi wake wa Romania, ikiwa ni jibu kwa hatua ya nchi hiyo ya Ulaya kutangaza kuwa itauhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kutoka Tel Aviv.

  • Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Apr 12, 2019 04:31

    Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliongoza genge la walowezi wa Kizayuni katika kushambulia na kuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa na kibla cha kwanza cha Waislamu wote duniani.

  • Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa

    Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa

    Apr 12, 2019 04:25

    Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.

  • Rouhani: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na Golan haiwezi kutenganishwa na Syria

    Rouhani: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na Golan haiwezi kutenganishwa na Syria

    Apr 07, 2019 02:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na miinuko ya Golan ni ardhi ya Syria isiyotenganishika na ardhi nyingine za nchi hiyo na kwamba hatua yoyote iliyo kinyume na hivyo ni kukanyaga maamuzi wa Umoja wa Mataifa na ni kinyume na uhakika wa kihistoria.

  • Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa kaskazini mwa Quds imeongezeka

    Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa kaskazini mwa Quds imeongezeka

    Mar 18, 2019 14:26

    Vyombo vya habari vya Kizayuni leo Jumatatu vimetangaza kuwa kuhani mmoja wa Kizayuni ambaye alijeruhiwa katika oparesheni ya kijana wa Kipalestina karibu na kitongoji cha Ariel kaskazinii mwa mji wa Salfit katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan ameaga dunia.

  • Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Mar 16, 2019 07:56

    Wananchi wa Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Masjid al Aqswa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu kinachokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Sheikh Maher Hammoud:  Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi

    Sheikh Maher Hammoud:  Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi

    8 hours ago
  • Mvutano waongezeka kati ya Netanyahu na Herzog baada ya Trump kumtusi Rais wa Israel

  • Katibu Mkuu wa Hizbollah: Iran daima imekuwa ikiunga mkono Palestina na wanyonge duniani

  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Iran: Mpira uko kwenye uwanja wa Marekani kuthibitisha azma ya kufikia makubaliano ya nyuklia

  • "Hatuui tu, tunabaka": Mwanajeshi wa Israel aliyeua watu Gaza akiri kufanya uhalifu

Chaguo La Mhariri
  • Kutoka Kongamano la Usalama hadi

    Kutoka Kongamano la Usalama hadi "Sarakasi ya Munich"; Msimamo wa Iran Kuhusu Matukio ya Ulaya

    12 hours ago
  • Ubepari na ukosefu wa utulivu wa kijamii

    Ubepari na ukosefu wa utulivu wa kijamii

    18 hours ago
  • Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Israel yakasirishwa na kauli ya kumdhalilisha rais wake iliyotolewa na Trump

  • Mvutano waongezeka kati ya Netanyahu na Herzog baada ya Trump kumtusi Rais wa Israel

  • Reuters: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani itafanyika Jumanne, Geneva

  • Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

  • Rais Xi Jinping wa China: Tutaziondolea ushuru nchi za Afrika ifikapo mwezi Mei

  • "Hatuui tu, tunabaka": Mwanajeshi wa Israel aliyeua watu Gaza akiri kufanya uhalifu

  • Algeria yaanza operesheni ya kwanza ya kusafisha maeneo ya majaribio ya nyuklia ya Ufaransa

  • Sheikh Maher Hammoud:  Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi

  • Araqchi: Sarakasi ya Munich dhidi ya Iran imedhihirisha namna Ulaya ilivyopoteza ushawishi wake wa kijiopolitiki

  • Rais wa mpito wa Venezuela: Maduro bado ndiye rais halali

  • Ripota maalumu wa UN: Hujuma dhidi yangu si chochote kulinganisha na mateso ya Wapalestina

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS