Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Netanyahu: Saudia imege ardhi yake na kuwapatia Wapalestina waunde nchi yao

    Netanyahu: Saudia imege ardhi yake na kuwapatia Wapalestina waunde nchi yao

    Feb 07, 2025 23:00

    Waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amependekeza Wapalestina waunde nchi yao ndani ya Saudi Arabia badala ya kwenye ardhi ya nchi yao ya asili; na ametupilia mbali dhana yoyote ya kuwepo nchi ya Palestina yenye mamlaka kamili ya kujitawala.

  • Wazayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Wazayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Jan 07, 2025 08:47

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti mtakatifu wa wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

  • Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Oct 21, 2024 22:53

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti mtakatifu wa wa Al-Aqsa kwa siku ya pili mtawalia na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

  • Jumamosi, 28 Septemba, 2024

    Jumamosi, 28 Septemba, 2024

    Sep 27, 2024 22:45

    Leo ni Jumamosi 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hiijria mwafaka na 28 Septemba 2024 Miladia.

  • Iran yaionya Israel isikichezee Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Iran yaionya Israel isikichezee Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Aug 28, 2024 03:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa onyo kwa utawala wa Kizayuni na hasa serikali ya hivi sasa ya watenda jinai ambayo imepanga njama za kikhabithi dhidi ya Msikiti wa al Aqsa ambao ndicho Kibla cha Kwanza cha Waislamu ikiwaambia Wazayuni wasilichezee eneo hilo takatifu.

  • UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    Aug 27, 2024 08:48

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali pendekezo lililotolewa hivi karibuni na Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben Gvir, la kutaka kujenga sinagogi ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa: Kauli ya waziri wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi

    Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa: Kauli ya waziri wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi

    Aug 27, 2024 03:29

    Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa Sheikh Ikrima Sabri amesema, kauli aliyotoa hivi karibuni waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi.

  • 84% ya Misikiti ya Gaza imeharibiwa na mabomu ya Wazayuni

    84% ya Misikiti ya Gaza imeharibiwa na mabomu ya Wazayuni

    Aug 21, 2024 23:36

    Asilimia 84 ya Misikiti katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeharibiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumatano, Agosti 21, 2024

    Jumatano, Agosti 21, 2024

    Aug 21, 2024 01:23

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2024 Milaadi.

  • Bagheri Kani: Uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa unalenga kuzidisha mivutano

    Bagheri Kani: Uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa unalenga kuzidisha mivutano

    Aug 14, 2024 04:07

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uvamizi wa baadhi ya mawaziri wa serikali ya utawala bandia wa Israel na walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa al Aqsa ni hatua ya kichochezi inayolenga kushadidisha mivutano na ukosefu wa amani katika eneo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

    Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

    2 hours ago
  • Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya

  • Wafungwa 11 wa kisiasa Tunisia wataka kuanzishwa kambi moja ya upinzani ili kurejesha uhuru

  • Wamarekani: Waasisi wangekatishwa tamaa na hali ya sasa ya nchi

  • Polisi yatumia mabomu ya machozi kudhibiti maandamano Kenya

Chaguo La Mhariri
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    17 hours ago
  • Je, Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Je, Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    3 days ago
  • Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza

  • Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran

  • Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran

  • Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani

  • Iran yapendekeza kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai

  • Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita

  • Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma

  • Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

  • Watafiti wa Iran wapiga hatua ya kwanza katika chanjo ya mRNA dhidi ya saratani ya matiti

  • Matetemeko makubwa ya ardhi yaikumba Venezuela, makumi waaaga dunia

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS