Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    UN yakosoa azma ya Israel ya kujenga sinagogi katika Msikiti wa al-Aqsa

    Aug 27, 2024 12:18

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali pendekezo lililotolewa hivi karibuni na Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben Gvir, la kutaka kujenga sinagogi ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa: Kauli ya waziri wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi

    Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa: Kauli ya waziri wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi

    Aug 27, 2024 06:59

    Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa Sheikh Ikrima Sabri amesema, kauli aliyotoa hivi karibuni waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi.

  • 84% ya Misikiti ya Gaza imeharibiwa na mabomu ya Wazayuni

    84% ya Misikiti ya Gaza imeharibiwa na mabomu ya Wazayuni

    Aug 22, 2024 03:06

    Asilimia 84 ya Misikiti katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeharibiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumatano, Agosti 21, 2024

    Jumatano, Agosti 21, 2024

    Aug 21, 2024 04:53

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2024 Milaadi.

  • Bagheri Kani: Uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa unalenga kuzidisha mivutano

    Bagheri Kani: Uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa unalenga kuzidisha mivutano

    Aug 14, 2024 07:37

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uvamizi wa baadhi ya mawaziri wa serikali ya utawala bandia wa Israel na walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa al Aqsa ni hatua ya kichochezi inayolenga kushadidisha mivutano na ukosefu wa amani katika eneo.

  • Utawala wa Kizayuni wamkamata Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa, kisa kutoa pole mauaji ya Shahidi Ismail Haniyeh

    Utawala wa Kizayuni wamkamata Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa, kisa kutoa pole mauaji ya Shahidi Ismail Haniyeh

    Aug 03, 2024 06:52

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa kwa kutuma salamu za rambirambi kutokana na mauaji yaliyofanywa na Israel dhidi ya Shahidi Ismail Haniyeh.

  • Shambulio la wanajeshi wa Israel kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Shambulio la wanajeshi wa Israel kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 18, 2024 10:08

    Idara ya Wakfu wa Kiislamu ya Palestina katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala huo wamewazuia Waislamu kuingia katika eneo hilo takatifu kwa kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Jun 16, 2024 10:00

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.

  • OIC yalaani 'maandamano ya bendera' ya Israel ya kusherehekea kuivamia Quds Mashariki

    OIC yalaani 'maandamano ya bendera' ya Israel ya kusherehekea kuivamia Quds Mashariki

    Jun 06, 2024 06:49

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani 'maandamano ya bendera' ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyofanyika jana Jumatano Baitul Muqaddas Mashariki kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.

  • Ayatullah Khatami: Siku ya Quds itakuwa tofauti kabisa mwaka huu

    Ayatullah Khatami: Siku ya Quds itakuwa tofauti kabisa mwaka huu

    Mar 29, 2024 12:12

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran hii leo ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kusema kuwa, hadithi ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu, itakuwa hadithi tofauti kabisa kutokana na hamasa na wingi wa watu watakaoshiriki matembezi ya siku hiyo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yaitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Iran yaitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    6 hours ago
  • Washington Post: Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani

  • Mataifa ya Kiislamu na Kiarabu yailaani Israel kwa kukiuka usitishaji vita Gaza

  • Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi kuhusu kuongezeka vurugu na machafuko Sudan Kusini

  • Mazungumzo ya kitaifa DRC: Masharti ya Rais Tshisekedi yaibua  hisia mseto

Chaguo La Mhariri
  •  Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?

    Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?

    26 minutes ago
  • Kuakisiwa hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika vyombo vya habari vya Kiarabu; indhari ya Tehran ya kugeuka vita na kuwa vya kikanda

    Kuakisiwa hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika vyombo vya habari vya Kiarabu; indhari ya Tehran ya kugeuka vita na kuwa vya kikanda

    11 hours ago
  • Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu  wa Shah na uistikbari

    Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu wa Shah na uistikbari

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu: Vita vipya vya US dhidi ya Iran vitapanuka na kuwa vya kieneo

  • Shamkhani: Iran itashambulia ndani ya kitovu cha 'Israel' kulipiza kisasi

  • Washington Post: Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani

  • Taasisi ya Ushauri ya Ulaya: Iran itatumia karata zake zote iwapo itashambuliwa na Marekani

  • Majasusi wa Magharibi: Iran haiundi silaha za nyuklia

  • Iran yatambua majeshi ya Ulaya kama mashirika ya kigaidi

  • Iran yaimarisha ‘Dhahabu ya Kijani’ licha ya njama za Marekani

  • Umoja wa Afrika walaani mashambulizi dhidi ya Niger; waahidi kuiunga mkono nchi hiyo

  • Utendaji wa jeshi la IRGC kuanzia kupambana na Daesh hadi Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni

  • Wanamichezo wa Iran wamkingia kifua Kiongozi Muadhamu

  • Iran: IRGC inadumisha amani, utulivu; uingiliaji unachochea taharuki

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS