Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Utawala wa Kizayuni wamkamata Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa, kisa kutoa pole mauaji ya Shahidi Ismail Haniyeh

    Utawala wa Kizayuni wamkamata Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa, kisa kutoa pole mauaji ya Shahidi Ismail Haniyeh

    Aug 03, 2024 03:22

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa kwa kutuma salamu za rambirambi kutokana na mauaji yaliyofanywa na Israel dhidi ya Shahidi Ismail Haniyeh.

  • Shambulio la wanajeshi wa Israel kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Shambulio la wanajeshi wa Israel kwenye Msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 18, 2024 06:38

    Idara ya Wakfu wa Kiislamu ya Palestina katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala huo wamewazuia Waislamu kuingia katika eneo hilo takatifu kwa kuvamia Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Jun 16, 2024 06:30

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.

  • OIC yalaani 'maandamano ya bendera' ya Israel ya kusherehekea kuivamia Quds Mashariki

    OIC yalaani 'maandamano ya bendera' ya Israel ya kusherehekea kuivamia Quds Mashariki

    Jun 06, 2024 03:19

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani 'maandamano ya bendera' ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyofanyika jana Jumatano Baitul Muqaddas Mashariki kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.

  • Ayatullah Khatami: Siku ya Quds itakuwa tofauti kabisa mwaka huu

    Ayatullah Khatami: Siku ya Quds itakuwa tofauti kabisa mwaka huu

    Mar 29, 2024 08:42

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran hii leo ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kusema kuwa, hadithi ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu, itakuwa hadithi tofauti kabisa kutokana na hamasa na wingi wa watu watakaoshiriki matembezi ya siku hiyo.

  • "Siku ya Quds imebakisha hai kadhia ya Palestina"

    Mar 26, 2024 22:38

    Mkuu wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Quds ya Iran amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yana umuhimu mkubwa katika kubakisha hai kadhia ya ukombozi wa Palestina.

  • Hofu ya Wazayuni ya kuibuka Intifadha nyingine Palestina

    Hofu ya Wazayuni ya kuibuka Intifadha nyingine Palestina

    Mar 08, 2024 05:00

    Utawala wa Kizayuni wa Israel una wasi wasi mkubwa wa kuanzishwa Intifadha (mwamko) nyingine ya Palestina katika hali ambayo hauna nguvu na umeonyesha udhaifu mkubwa mkabala wa operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa na makundi ya mapambano ya ukombozi wa Papalestina.

  • Haniya: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ufukwe wa Magharibi

    Haniya: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ufukwe wa Magharibi

    Oct 07, 2023 11:44

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, nje yake na popote pale walipo wananchi wa Palestina.

  • Walowezi wa Kizayuni wauvamia Msikiti wa Al Aqswa kwa siku ya tano mfululizo

    Walowezi wa Kizayuni wauvamia Msikiti wa Al Aqswa kwa siku ya tano mfululizo

    Oct 04, 2023 09:06

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuvamia tena kwa siku ya tano mtawalia Msikiti wa Al-Aqwsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na kusindikizwa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Jordan yalaani Wazayuni kuuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Jordan yalaani Wazayuni kuuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Oct 03, 2023 23:38

    Serikali ya Jordan imekosoa vikali hatua ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwashambulia waumini wa Kipalestina, huku mamia ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali wakiingia kwa mabavu katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

    Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua

    3 hours ago
  • Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya

  • Wafungwa 11 wa kisiasa Tunisia wataka kuanzishwa kambi moja ya upinzani ili kurejesha uhuru

  • Wamarekani: Waasisi wangekatishwa tamaa na hali ya sasa ya nchi

  • Polisi yatumia mabomu ya machozi kudhibiti maandamano Kenya

Chaguo La Mhariri
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    19 hours ago
  • Je, Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    Je, Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?

    3 days ago
  • Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran

  • Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza

  • Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran

  • Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani

  • Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita

  • Iran yapendekeza kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai

  • Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma

  • Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

  • Watafiti wa Iran wapiga hatua ya kwanza katika chanjo ya mRNA dhidi ya saratani ya matiti

  • Matetemeko makubwa ya ardhi yaikumba Venezuela, makumi waaaga dunia

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS