Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wazayuni wauvamia tena Msikiti wa Al Aqsa kwa siku ya nne mfululizo

    Wazayuni wauvamia tena Msikiti wa Al Aqsa kwa siku ya nne mfululizo

    Oct 03, 2023 07:53

    Kundi kubwa la walowezi wa Kizayuni leo wameuvamia tena kwa siku ya nne mtawalia Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na kusindikizwa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Nasrullah: Lazima Wazayuni waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na kibla cha kwanza cha Waislamu

    Nasrullah: Lazima Wazayuni waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na kibla cha kwanza cha Waislamu

    Oct 03, 2023 06:40

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Umma wa Kiislamu unapaswa utekeleze wajibu wake kwa watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa, na akasisitiza kuwa: Wazayuni lazima waisikie sauti ya Umma wa Kiislamu kuhusiana na Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

    Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

    Sep 30, 2023 11:22

    Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.

  • Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023

    Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023

    Sep 28, 2023 03:03

    Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Septemba 28, 2023.

  • OIC yalaani ongezeko la hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

    OIC yalaani ongezeko la hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa

    Sep 20, 2023 02:22

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali vitendo vya hujuma za walowezi wa Kizayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Sep 19, 2023 02:31

    Sambamba na maadhimisho ya sikukuu za Kiyahudi, makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi.

  • Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Sep 13, 2023 11:12

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kuuvunjia heshima.

  • Msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa taifa la Palestina

    Msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa taifa la Palestina

    Sep 11, 2023 14:01

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS huko Quds iinayokaliwa kwa mabavu ameashiria vitendo vya Wazayuni vya kulivunjia heshima eneo hilo takatifu na kusisitiza kwamba, msikiti wa al-Aqswa utaendelea kuwa mstari mwekundu wa taifa la Palestina.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena kibla cha kwanza cha Waislamu

    Sep 11, 2023 06:58

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.

  • OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    Sep 08, 2023 07:37

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa vikali hatua ya Papua New Guinea kufungua ubalozi katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    2 hours ago
  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

  • "Iran imeazimia kweli kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia"

  • Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

Chaguo La Mhariri
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    7 hours ago
  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    12 hours ago
  • Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jinamizi la kukwama safari za ndege laendelea kuitesa Israel

  • Charles Hillary, aliyewahi kuwa mtangazaji mahiri afariki dunia

  • Foreign Affairs: Dola bilioni 2 za Marekani zimeshindwa kuipigisha magoti Yemen

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Traore: Burkina Faso inataka ustawi wa kasi wa uhusiano na Russia

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • India na Pakistan zashutumiana kuvunja makubaliano ya usitishaji vita

  • Aragchi: Haikubaliki kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Iran huku Israel ikiwa na silaha za nyuklia

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS