Wanasheria wazungumzia kurudiwa uchaguzi Zanzibar
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i1849-wanasheria_wazungumzia_kurudiwa_uchaguzi_zanzibar
Wanasheria mbalimbali visiwani Zanzibar wamepinga matamshi ya hivi karibuni ya Jecha Salim Jecha, Mkuu wa Tume ya Uchaguzi visiwani humo ZEC
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Feb 24, 2016 07:15 UTC

Wanasheria mbalimbali visiwani Zanzibar wamepinga matamshi ya hivi karibuni ya Jecha Salim Jecha, Mkuu wa Tume ya Uchaguzi visiwani humo ZEC

Wanasheria hayo wamekosoa vikali matamshi ya mwenyekiti huyo wa ZEC aliyezungumzia hatua walizofikia katika zoezi linalolalamikiwa na wengi la kurejea uchaguzi visiwani humo na kusema kuwa matamshi hayo ni kujaribu kuhalalisha batili ambayo Jecha Salim Jecha aliifanya kwa kutangaza kufuta uchaguzi wa Zanzibar kinyume cha sheria.

Mwandishi wetu Hassan Issa ametuandlia ripoti ifuatayo: