-
Mashambulizi ya anga yaendelea Libya, 71 waokolewa baharini
Nov 15, 2025 01:51Mji wa Zawiya wa magharibi mwa Libya ulioko umbali wa kilomita 60 magharibi mwa mji mkuu Tripoli, umekumbwa na mashambulizi ya mfululizo ya anga. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya karibuni kabisa ya Shirika la Kudhibiti Vitisho vya Usalama mjini Zawiya.
-
Jenerali Al Burhan hakutakuwa na suluhu baina ya SAF na RSF
Nov 15, 2025 01:50Mkuu wa jeshi la Sudan SAF Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan alisema jana Ijumaa kwamba hakutakuwa na "suluhu wala amani" kati ya jeshi analoongoza yeye SAF na Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF akisisitiza kwamba operesheni za kijeshi zitaendelea hadi "watakaposambaratishwa kabisa wanamgambo waasi."
-
Al Burhan awataka Wasudan wote wabebe silaha dhidi ya RSF
Nov 15, 2025 00:53Mkuu w Jeshi la Sudan, Jenerali Abdel Fattah Al Burhan amemtaka kila Msudan abebe silaha kupambana na waasi wa RSF akisisitiza kwamba hakutakuwa na mapatano na waasi hao.
-
Kwa nini Marekani inataka Uturuki iachane na nishati ya Russia?
Nov 14, 2025 23:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameitaka Uturuki iache kununua nishati ya Russia.
-
Qalibaf: Israel haijawahi kuonja moto kama wa Vita vya Siku 12
Nov 14, 2025 23:07Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kwamba: Israel ilikumbaa na mashinikizo makubwa ya kukabiliana na mashambulizi ya Iran hususan katika siku za mwisho za Vita vya Siku 12 na haijawahi kupata kipigo kama ilichopata wakati wa vita vya siku 12 ilivyovianzisha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jenerali Hassanzadeh: Mifumo ya ulinzi wa dunia inagwaya mbele ya makombora ya Iran
Nov 14, 2025 23:07Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) mjini Tehran, amezungumzia nguvu zinazozidi kuongezeka za Jamhuri ya Kiislamu za kupambna na madola ya kibeberu duniani na kusema: "Katika vita vya siku 12, mifumo jumuishi ya ulinzi ya kimataifa iligwaya na kuzipigia magoti nguvu za makombora za Iran na adui alihisi kushindwa vitani katika muda usiozidi saa 24.
-
Iran yalaani jinai zinazotendwa nchini Sudan
Nov 14, 2025 23:06Iran imepaza sauti kulaani “jinai na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu” unaoendelea nchini Sudan, ikisisitiza kuwa hali ya kibinadamu katika mji wa Al-Fasher na maeneo jirani imefikia kiwango cha hatari kinachohitaji msaada wa haraka wa jumuiya ya kimataifa.
-
Lieberman: Israel si lolote si chochote bila ya msaada wa Marekani
Nov 14, 2025 23:04Waziri wa zamani wa fedha wa utawala wa Kizayuni amekiri kwamba hivi sasa Israel inapitia kipindi kibaya mno cha kiuchumi na kusisitiza kwamba inabidi waishukuru Marekani kwa msaada wake kwani bila ya msaada huo, Israel si lolote si chochote, bali itaangamia.
-
Jarida la Wall Street: Makampuni ya Marekani yalipata mabilioni ya dola kutokana na vita dhidi ya Gaza
Nov 14, 2025 23:03Jarida la Wall Street limefichua kwamba vita vya miaka miwili vya Ukanda wa Gaza havikuwa tu janga kubwa la binadamu, bali pia muamala mkubwa wa biashara kwa makampuni ya Marekani yaliyopata mabilioni ya dola kutokana na mauzo ya silaha kwa Israel, kwa msaada mpana wa kisiasa na kiuchumi kutoka Washington.
-
Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Vyombo vya kidiplomasia vimfungulie mashtaka Trump mhalifu katika majukwaa ya kimataifa
Nov 14, 2025 07:44Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema vyombo vya kidiplomasia vinapaswa kumfungulia mashtaka Donald Trump mhalifu katika majukwaa ya kimataifa.