-
AU yatoa wito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Nigeria, yapinga vitisho vya Trump
Nov 08, 2025 04:28Tume ya Umoja wa Afrika imeelezea wasiwasi wake kuhusu kauli za hivi karibuni za Marekani, ambazo zimeituhumu serikali ya Nigeria kuwa inashiriki katika mauaji iliyodai kuwa yanayowalenga Wakristo, na kudokeza uwezekano wa kuingilia kijeshi kwa kisingizio cha "kutetea uhuru wa kidini."
-
Ghannouchi na wanaharakati wa kisiasa wagoma kula kuonyesha mshikamano na Ben Mbarek
Nov 08, 2025 04:27Timu ya utetezi ya Rached Ghannouchi, spika wa zamani wa Bunge la Tunisia na mkuu wa harakati ya Ennahda, ilitangaza jana Ijumaa kwamba mwanasiasa huyo mkongwe ameanza mgomo wa kula usio na kikomo kuonyesha mshikamano na Jaouhar Ben Mbarek, ambaye ni miongoni mwa viongozi wa kundi la National Salvation Front and Citizens Against the Coup linalompinga Rais wa Tunisia, Kais Saied.
-
UN: Mashambulizi ya walowezi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi yamefikia kiwango cha juu zaidi
Nov 08, 2025 04:27Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba walowezi wa Israel wamefanya mashambulizi yasiyopungua 264 dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu mwezi uliopita wa Oktoba, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya kila mwezi tangu maafisa wa Umoja wa Mataifa walipoanza kufuatilia mashambulizi kama hayo mwaka 2006.
-
Balozi wa Russia nchini Sudan: Mamluki wa Ukraine wanaendeshaji droni huko Darfur
Nov 08, 2025 03:45Balozi wa Russia nchini Sudan, Andrey Chernovol, ameripoti kwamba kuna uvumi unaosambaa nchini Sudan kuhusu uwepo wa Waukreini wanasimamia operesheni za ndege zisizo na rubani katika safu ya waasi wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Kauli ya Trump inathibitisha Marekani ilishirikiana na Israel moja kwa moja kuishambulia Iran
Nov 08, 2025 01:23Iran imesema kuwa Marekani ilihusika moja kwa moja katika uvamizi wa utawala wa Israel dhidi yake mnamo mwezi Juni, ikinukuu kauli za hivi karibuni za Rais Donald Trump wa Marekani, kama ushahidi wa wazi wa ushiriki wa Washington katika kitendo hicho cha uchokozi.
-
Kwa nini New Delhi imekhitari sera ya kuwa karibu zaidi na Tel Aviv?
Nov 08, 2025 00:41India na utawala wa Kizayuni wa Israel zimeanzisha uhusiano mkubwa baina ya pande hizo mbili katika miaka ya hivi karibuni.
-
Mahakama ya ICC yathibitisha mashtaka dhidi ya Joseph Kony
Nov 08, 2025 00:40Majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC yenye makao yake mjini Hague, Uholanzi wamethibitisha kuwa kiongozi wa waasi wa Uganda Joseph Kony anakabiliwa na mashtaka ya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu na hivyo kufungua njia kwa ajili kuanza kesi yake iwapo tu atatiwa nguvuni.
-
Jeshi la Sudan lakabiliana na mashambulizi ya droni katika mji mkuu Khartoum
Nov 08, 2025 00:38Jeshi la Sudan limetangaza kuwa kikosi chake cha ulinzi wa anga jana Ijumaa kilinasa kundi la ndege zisizo na rubani (droni) zilizokusudia kufanya mashambulizi katika mji wa Omdurman, magharibi mwa Khartoum, na katika mji wa kaskazini wa Atbara.
-
Watu 145 washtakiwa kwa uhaini wakidaiwa kuhusika katika maandamano ya vurugu Tanzania
Nov 08, 2025 00:37Waendesha mashtaka nchini Tanzania jana Ijumaa wamewashtaki takriban watu 145 kwa kosa la uhaini madai ya kuhusika katika maandamano ya vurugu yaliyozuka wakati wa uchaguzi wa rais na bunge wiki iliyopita.kulingana na faili za mahakama zilizoonekana na Reuters.
-
Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu ‘yanapaswa kutumia nguvu’ dhidi ya Israel
Nov 08, 2025 00:36Mohammad Bagher Qalibaf Spika wa Majlisi ya ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Kiislamu "zinapasa kutumia nguvu" dhidi ya utawala wa Israel na kuonya kuwa diplomasia pekee haitazuia vitendo vya uchokozi vya Israel.