-
Al-Arabi al-Jadid: Kuna uwezekano marais wa Iran na Misri wakaonana karibuni hivi
Oct 20, 2024 07:03Chombo kimoja cha habari cha nchini Qatar kimenukuu duru zake na kusema kuwa, kuna uwezekano marais wa Iran na Misri wakaonana karibuni hivi.
-
Iran: HAMAS ingali hai, itaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla
Oct 20, 2024 03:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS iko hai na itaendelea kufuata njia yake hiyo hiyo kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla licha ya kuuawa shahidi kiongozi wake Yahya Sinwar.
-
Iran yakanusha kuhusika na shambulio la droni lililolenga makazi ya Netanyahu
Oct 20, 2024 03:33Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, shambulio la ndege isiyo na rubani lililolenga makazi ya Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel limefanywa na Hizbullah ya Lebanon.
-
Kamati ya Bunge la Iran: Kuuawa shahidi Sinwar kutaharakisha maangamizi ya Israel
Oct 19, 2024 23:17Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje za Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa, damu takasifu ya Shahidi Yahya Sinwar itasafisha zaidi njia ya kuikomboa Quds na kuharakisha maangamizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya nchi za Bahari ya Hindi yaanza Iran
Oct 19, 2024 08:13Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Majeshi ya Majini ya nchi za Kandokando ya Bahari ya Hindi (IONS) ), "IMEX 2024," yameanza katika eneo la maji ya Iran katika Ghuba ya Uajemi kwa kuvishirikisha vitengo mbalimbali kutoka nchi kadhaa wanachama na waangalizi.
-
Iran yaonya kuhusu 'ushiriki hatari' wa Marekani na Uingereza katika chokochoko za Israel
Oct 19, 2024 08:01Iran imelaani vikali mashambulizi ya anga ya pamoja ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen huku nchi hizo mbili zikiunga mkono utawala haramu wa Israel kijeshi na kisiasa.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kufuatia kuuawa shahidi Yahya Sinwar
Oct 19, 2024 03:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia kuuawa shahidi kamanda shujaa wa Mujahidina, Yahya Sinwar, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya HAMAS ya Palestina na kusisitiza kuwa: "Kama vile safu ya Muqawama haikuacha kusonga mbele kwa kuuawa shahidi shakhisia wake mashuhuri, vivyo hivyo haitakoma kwa kuuawa shahidi Al-Sinwar."
-
"Kuuawa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano dhidi ya Wazayuni"
Oct 19, 2024 03:50Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema mauaji ya kigaidi ya viongozi na makamanda wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha mapambano ya taifa hili la Kiislamu dhidi ya dhulma na uvamizi.
-
Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu
Oct 19, 2024 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran
Oct 18, 2024 23:34Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amekosoa uingiliaji kati wa Umoja wa Ulaya (EU) kwa malengo yasiyofaa na kuunga mkono madai ya Imarati kuhusu visiwa vitatu vya Iran, na amewatahadharisha viongozi wa Imarati kwamba waache uadui wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.