Apr 22, 2024 12:17
Meja Jenerali Aharon Haliva, mkuu wa kitengo cha ujasusi cha kijeshi wa Israel, ametangaza kujiuzulu kwa sababu ya kushindwa kuzuia shambulio la kihistoria la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS la tarehe 7 Oktoba 2023.