Karbala wakati huu wa kukaribia Arubaini ya Imam Husain AS 1438 Hijria (2016)
Nov 09, 2016 09:17 UTC
Picha mbalimbali za Waislamu na wapenzi wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW wakijiandaa kwa ajili ya Arubaini ya Imam Husain AS ambayo itasadifiana na tarehe 21 Novemba 2016 kwa mujibu wa kalenda ya Iraq.