-
Marekani yatekeleza njama mpya dhidi ya Wapalestina kwa kubadilisha utambulisho wa wakazi wa Quds
Mar 12, 2020 15:33Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina imesema, hatua ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani ya kubadilisha utambulisho wa Wapalestina wa eneo la Baitul Muqaddas Mashariki ni hujuma ya dhahiri na uchokozi wa wazi dhidi ya utambulisho wa Wapalestina.
-
Sanders: Nikichaguliwa kuwa rais nitaurejesha ubalozi wa US Tel Aviv
Feb 27, 2020 02:25Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani anayeongoza katika mbio za kuwakilisha chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu kama mbaguzi asiyependa ustawi wa kisiasa na kijamii.
-
Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa
Feb 25, 2020 07:48Rais Kais Saied wa Tunisia amesema Palestina ni milki ya Wapalestina na Quds tukufu inapaswa kuwa mji mkuu wa taifa hilo la Kiarabu.
-
Sayyid Ammar al Hakim: Quds ni utambulisho wa Waislamu wote
Feb 02, 2020 02:42Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amelaani njama mpya za rais wa Marekani Donald Trump za "Muamala wa Karne" ambazo zinalenga kuwapora Waislamu maeneo yao matakatifu hasa Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa, rais wa Marekani anapaswa kutambua kuwa Quds ni utambulisho wa Waislamu wote na watasimama kidete kulilinda eneo lao hilo takatifu kwa nguvu zao zote.
-
Askari wa Israel wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Waislamu kuswali Ijumaa
Jan 24, 2020 17:00Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti mtukufu wa al Aqsa na kuwajeruhji Wapalestina wengi katika viwanja vya msikiti huo wakiwazuia kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa.
-
Iran yakiongezea Kikosi cha Quds cha IRGC Yuro milioni 200
Jan 07, 2020 08:03Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametangaza kuwa, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha kukiongeza Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Yuro milioni 200.
-
Utawala wa Israel ulimpa sumu Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoxi Quds (Jerusalem)
Dec 24, 2019 13:07Askofu Mkuu wa Diosisi ya Sebastia ya Kanisa la Kiothodoxi la Quds (Jerusalem) Atallah Hanna ambaye amelazwa hospitalini kutokana na kuvuta pumzi ya mada hatari za kemikali amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika katika kumpa sumu.
-
Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu
Dec 20, 2019 11:42Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeikosoa vikali Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara katika mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Hamas: Masjidul Aqsa ni mstari mwekundu usiopaswa kuguswa
Dec 11, 2019 08:04Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetahadharisha kuhusu vitendo vya walowezi wa Kizayuni vya kuendelea kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Msemaji wa Hamas: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuikomboa Palestina
Dec 10, 2019 13:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, mapambano ya pande zote na kwa kutumia mbinu na nyezo zote ndiyo chaguo la taifa la Palestina kwa ajili ya kukabiliana na utawala ghasibu wa Israel.