Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi la Quds amuunga mkono Sayyid Hassan Nasrullah

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi la Quds amuunga mkono Sayyid Hassan Nasrullah

    Dec 09, 2019 12:23

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) Atallah Hanna, ameiunga harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon sambamba na kulaani matamshi yaliyotolewa na Askofu wa Kanisa la Othodoksi katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut, ya kuitusi harakati hiyo na Katibu Mkuu wake Sayyid Hassan Nasrullah.

  • Hania: Wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa mipango ya adui huko Quds

    Hania: Wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa mipango ya adui huko Quds

    Oct 20, 2019 11:49

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa mipango ya adui Mzayuni ya kuugawa msikiti wa al Aqsa itagonga mwamba na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa mipango ya adui na kubadilishwa athari na nembo za mji wa Quds.

  • HAMAS: Kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    HAMAS: Kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Oct 17, 2019 07:58

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, hatua ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa ni udhalilishaji na uchochezi wa wazi wa hisia za umma mzima wa Kiislamu na Kiarabu.

  • Wazayuni wazidi kuwanyanyasa Wapalestina, wamtia mbaroni mkuu wa mkoa

    Wazayuni wazidi kuwanyanyasa Wapalestina, wamtia mbaroni mkuu wa mkoa

    Oct 15, 2019 04:05

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza unyanyasaji wao dhidi ya Wapalestina kwa kumtia mbaroni mkuu wa mkoa wa Quds na viongozi wengine wa harakati ya Fat'h katika Ukingo wa Magharibi wa Mto wa Mto Jordan.

  • HAMAS: Dunia ikabiliane na uvunjiaji heshima yanayofanyiwa matukufu ya Kiislamu na Kikristo Palestina

    HAMAS: Dunia ikabiliane na uvunjiaji heshima yanayofanyiwa matukufu ya Kiislamu na Kikristo Palestina

    Oct 10, 2019 07:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa ya kuitaka Jamii ya Kimataifa ichukue hatua kukabiliana na uvunjaji heshima unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya matukufu ya Kiislamu na Kikristo katika ardhi ya Palestina.

  • Hamas: Mbinu zote zinazowezekana zitumike katika kulinda Msikiti wa Al Aqsa

    Hamas: Mbinu zote zinazowezekana zitumike katika kulinda Msikiti wa Al Aqsa

    Oct 04, 2019 12:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito wa kutumiwa kila mbinu inayowezekana katika kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Sep 29, 2019 13:19

    Walowezi wapatao 200 leo wamevamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa wakiitikia wito wa makuhani wa utawala ghasibu wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jumamosi, 28 Septemba, 2019

    Jumamosi, 28 Septemba, 2019

    Sep 28, 2019 02:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2019 Miladia.

  • Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina

    Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina

    Sep 26, 2019 04:14

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni

    Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni

    Aug 29, 2019 07:52

    Naibu Mwenyekiti wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina amesema kuwa makampuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua ardhi huko Quds na kisha kukabidhi umiliki wa ardhi hizo kwa Waisraeli.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Pezeshkian apongeza hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya tarehe 22 Bahman

    Pezeshkian apongeza hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya tarehe 22 Bahman

    6 hours ago
  • Araqchi: Wairani waliandamana tarehe 22 Bahman kutangaza kuwa haki na utu wao haviuzwi

  • Hamas yazionya US, Israel: Vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na kushambulia Ulimwengu mzima wa Kiislamu

  • Wazimbabwe watofautiana baada ya mawaziri kupitisha mswada wa kuongeza muda wa rais kusalia madarakani

  • Libya yatoa leseni za kwanza za mafuta kwa makampuni ya nishati ya nje tangu kupinduliwa Gaddafi

Chaguo La Mhariri
  • Maandamano ya tarehe 22 Bahman, ishara ya mwamko, kuwa macho, umoja na mshikamano wa watu wa Iran.

    Maandamano ya tarehe 22 Bahman, ishara ya mwamko, kuwa macho, umoja na mshikamano wa watu wa Iran.

    11 hours ago
  • Kashfa ya Epstein ilivyofichua mmomonyoko wa kimaadili katika nchi za Magharibi

    Kashfa ya Epstein ilivyofichua mmomonyoko wa kimaadili katika nchi za Magharibi

    15 hours ago
  • Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

  • Baada ya mkutano wake na Netanyahu, Trump asema mazungumzo na Iran inapasa yaendelee

  • Pezeshkian: Dunia ishuhudie jinsi Wairani walivyojitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya Bahman 22 ili kuihami nchi yao

  • Rais wa Colombia asema amenusurika jaribio la mauaji

  • Admeri Shamkhani asisitiza: Mpango wa makombora wa Iran hautajadiliwa katu

  • Balozi wa Marekani katika NATO: Nchi za Ulaya wanachama wa NATO ni 'watoto wadogo'

  • China: Marekani ndiyo sababu kubwa zaidi ya kuvurugika nidhamu ya nyuklia duniani

  • Hamas yazionya US, Israel: Vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na kushambulia Ulimwengu mzima wa Kiislamu

  • Mamilioni wamiminika mitaani Iran kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Iran yaonya kuhusu njama za Israel huku ikiendeleza mazungumzo ya kidiplomasia na Marekani

  • Libya yatoa leseni za kwanza za mafuta kwa makampuni ya nishati ya nje tangu kupinduliwa Gaddafi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS