-
Hamas: Mbinu zote zinazowezekana zitumike katika kulinda Msikiti wa Al Aqsa
Oct 04, 2019 08:37Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito wa kutumiwa kila mbinu inayowezekana katika kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa
Sep 29, 2019 09:49Walowezi wapatao 200 leo wamevamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa wakiitikia wito wa makuhani wa utawala ghasibu wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Jumamosi, 28 Septemba, 2019
Sep 27, 2019 23:07Leo ni Jumamosi tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2019 Miladia.
-
Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina
Sep 26, 2019 00:44Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni
Aug 29, 2019 03:22Naibu Mwenyekiti wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina amesema kuwa makampuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua ardhi huko Quds na kisha kukabidhi umiliki wa ardhi hizo kwa Waisraeli.
-
OIC: Baitul Muqaddas (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina
Aug 22, 2019 07:41Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa: Baitul Muqaddas utabakia daima kuwa mji mkuu wa Palestina.
-
Hamas yakosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya Msikiti wa Al Aqsa
Aug 21, 2019 20:41Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa 50 tangu kuchomwa moto msikiti wa Al Aqsa; Siku ya Kimataifa ya Misikiti
Aug 21, 2019 08:16Leo tarehe 21 mwezi Agosti ni maadhimisho ya kutimia mwaka wa 50 tangu kuchomwa moto na Wazayuni msikiti wa al Aqsa; siku ambayo imepewa jina la Siku ya Kimataifa ya Misikiti.
-
HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina wote kusimama pamoja kuuhami msikiti wa Al Aqsa
Aug 20, 2019 03:34Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito kwa Wapalestina wote kusimama na kuungana pamoja kwa ajili ya kuuhami msikiti wa Al Aqsa.
-
Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa
Aug 12, 2019 10:23Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.