Apr 26, 2024 08:00
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, damu safi ya mashahidi wa shambulio la kigaidi la utawala wa Kizayuni katika ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus, imeibua heshima na fahari kwa harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) na kuufedhehsha utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari.