-
Kwa nini Pakistan imekosoa msimamo wa Trump kuhusu machafuko nchini Iran?
Jan 14, 2026 03:51Pakistan imekosoa msimamo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu machafuko yanayochochewa na nchi za Magharibi nchini Iran.
-
Larijani: Trump ndiye 'muuaji mkubwa zaidi' wa Wairani
Jan 14, 2026 03:16Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amelaani vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya taifa hili, akimtaja mwanasiasa huyo kama mmoja wa wauaji wakubwa zaidi wa Wairani.
-
Ujumbe madhubuti wa tarehe 22 Dei wa taifa la Iran; mwisho wa hadaa na hila za Marekani
Jan 13, 2026 07:46Katika ujumbe wa pongezi aliotoa kwa mnasaba wa kazi kubwa iliyofanywa na taifa kubwa la Iran katika kuandaa mikusanyiko mikubwa ya tarehe 12 Januari, na siku ya kihistoria iliyobuniwa kwa masaba huo, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, taifa la Iran limewadhihirishia maadui ujasiri na utambulisho wake.
-
Araghchi atoa onyo baada ya vitisho vya Trump: Iran iko tayari kwa vita ikiwa Marekani inataka 'kuvijaribu'
Jan 13, 2026 07:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ameionya Marekani kwamba, Tehran "iko tayari kwa machaguo yote" baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kuchukua hatua za kijeshi sambamba na Iran kukabiliwa na machafuko hivi karibuni yaliyochochewa na kuungwa mkono na maadui wa nje ya nchi.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tunayo mengi ya kushangaza yatakayomtia maumivu makubwa adui
Jan 13, 2026 03:43Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh, amemuonya yeyote anayewatishia watu wa Iran kwa shambulio la kijeshi, akisema kwamba Tehran ina "mastaajabu ya kukabiliana na vitisho hivyo, na washambuliaji watapata maumivu na mateso makubwa kwa mastaajabu hayo."
-
Qalibaf: Taifa la Iran limemzuia adui kufikia malengo yake
Jan 13, 2026 03:43Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kujitokeza tena kwa Wairani uwanjani kumebatilisha uchawi wa uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza: "Leo, kiini kikubwa cha Wairani milioni 90, wenye dini, mielelezo ya kisiasa na lahaja tofauti, kimesimama kidete dhidi ya adui wa kigeni, na hii ni hatua muhimu ya mwamko wa Wairani."
-
Kiongozi Muadhamu asifu maandamano ya kitaifa Iran kama pigo kwa njama za maadui
Jan 13, 2026 00:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amepongeza maandamano ya kitaifa yaliyoonyesha uungaji mkono kwa Jamhuri ya Kiislamu, akisema wingi wa wananchi waliojitokeza “umeandika historia” na kuvuruga njama za maadui waliolenga kuibua misukosuko kupitia vibaraka wao wa ndani.
-
Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran
Jan 13, 2026 00:12Mbunge wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ambaye pia ni Mkuu wa Kamati ya Ulinzi katika Duma amekariri uungaji mkono wa nci yake kwa Iran na kusema Moscow inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi khususan uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baqaei: Njia ya mawasiliano iko wazi kati ya Iran na Marekani ili kubadilishana jumbe
Jan 13, 2026 00:10Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa njia ya mawasiliano iko wazi kati ya Abbas Aragchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Steve Witkoff Mjumbe Maalumu wa Marekani ili kubadilishana jumbe kila inapohitajika.
-
Uingiliaji kati wa Marekani nchini Iran; mfano wazi wa kuyumbisha usalama na kuhimiza vurugu
Jan 12, 2026 09:21Iran imeeleza malalamiko yake makali dhidi ya kauli za Marekani za uingiliaji kati katika barua yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.