-
Meli za kivita za Iran zaelekea Afrika Kusini kushiriki mazoezi ya kijeshi ya BRICS
Dec 22, 2025 04:01Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesifu “kuongezeka kwa uwepo wa Iran baharini” nje ya eneo la Asia Magharibi, akitangaza kwamba meli kadhaa za kivita za jeshi hilo zinaelekea Afrika Kusini.
-
Mkuu wa Majeshi ya Iran: Israel hutekeleza mashambulizi dhidi ya Wayahudi ili wengine walaumiwe
Dec 22, 2025 03:58Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa utawala wa Israel unatekeleza mashambulizi ya “kujidhuru” dhidi ya jumuiya za Wayahudi maeneo mbali mbali duniani ili kuchochea hofu ya chuki dhidi ya Wayahudi.
-
Iran yatengeneza kifaa cha kugundua saratani ya matiti kwa sekunde 15
Dec 22, 2025 03:58Iran imezindua kifaa kipya cha kusaidia upasuaji wa saratani ya matiti kinachoitwa Cancer Diagnostic Probe (CDP), ambacho kinapunguza muda wa kugundua mipaka ya tishu zilizoathirika kutoka dakika 45 hadi sekunde 15 pekee.
-
Rais Pezeshkian: Ushirikiano wa Iran na EAEU unafungua njia ya kuwa na 'kanda yenye nguvu'
Dec 21, 2025 23:53Rais Masoud Pezeshkian ameulezea ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Ulaya na Asia EAEU kama mkakati wa muda mrefu wa kuimarisha mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na kuanzisha kitovu cha nguvu ya kikanda.
-
Iran, Venezuela zalaani 'uharamia' wa Marekani Caribbean
Dec 21, 2025 07:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Venezuela, Yvan Gil Pinto wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu ambapo wamelaani uwepo wa jeshi la Marekani katika eneo la Caribbean, wakiishutumu Washington kwa kukiuka sheria za kimataifa, na kusisitiza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika kupinga sera za upande mmoja.
-
Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi: Utawala wa Israel unaficha kushindwa kwa kutoa vitisho
Dec 20, 2025 23:38Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi, Naibu Mkuu wa Majeshi ya Iran, amesema "Israel" inajaribu kuficha kushindwa vikali katika Vita vya Siku Kumi na Mbili kupitia njia ya kutoa vitisho, propaganda za vyombo vya habari na ujanja wa kisiasa.
-
Iran yamnyonga ajenti wa Mossad aliyekuwa akiifanyia ujasusi Israel
Dec 20, 2025 09:32Idara ya Mahakama ya Iran imetangaza kuwa ajenti wa Shirika la Ujasusi la Israel (Mossad) aliyepatikana na hatia ya kuufanyia ujasusi utawala wa Israel, amenyongwa baada ya kukamilika kwa taratibu zote za kisheria.
-
Iran yasisitiza utayari wa mazungumzo kwa msingi wa kuheshimu haki za taifa
Dec 20, 2025 03:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amerejelea utayari wa Jamhuri ya Kiislamu kushiriki mazungumzo yanaliyojengwa juu ya heshima kwa haki za taifa, huku akipinga vikali mbinu zozote zinazotegemea shinikizo la upande mmoja.
-
Mabasi ya umeme yaliyoundwa Iran yaanza huduma mjini Tehran
Dec 20, 2025 03:35Kundi la kwanza la mabasi ya umeme yaliyotengenezwa nchini Iran limeanza kutoa huduma katika mji mkuu, Tehran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha mfumo wa usafiri wa umma na kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na mabasi ya dizeli ya kizamani.
-
Ushirikiano wa Tehran na Moscow; ushirika wa kimkakati katika njia ya mfumo mpya wa kimataifa
Dec 19, 2025 08:03Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia kuendelea kwa ushirikiano wa kimkakati na ushirikiano kati ya Tehran na Moscow.