-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Tuwaombee ushindi Mujahidina wa Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 19, 2025 07:55Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa wa Tehran amesema kuwa, tuna wajibu wa kuwaombea dua Mujahidina wanaojitolea kila kitu chao kwa ajili ya kupigania haki na kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu.
-
Rais Pezeshkian atoa mwito wa umoja wa Waislamu duniani
Dec 18, 2025 06:57Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu, Imam Rouhullah Khomeini (MA) alikuwa mjumbe wa umoja na mshikamano miongoni mwa watu, akisisitiza kwamba mataifa ya Waislamu yanapaswa yaungane ili maadui wasiweze kuibua mifarakano miongoni mwao.
-
Iran yaalani vikwazo vya upande mmoja vya baharini vya Marekani dhidi ya Venezuela
Dec 18, 2025 04:11Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kulaani vitisho vya Marekani kwamba itaiwekea vikwazo vya baharini Venezuela na kuitaja hatua hiyo kuwa uharamia unaofadhiliwa na serikali.
-
Araghchi: Uhusiano wa Iran na Russia umeingia hatua mpya
Dec 17, 2025 23:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia umeingia “hatua mpya na ya kasi zaidi” kufuatia kutiwa saini kwa ramani ya ushirikiano ya miaka mitatu pamoja na mwenzake wa Russia, Sergei Lavrov.
-
Mtafiti wa Iran ashinda dhahabu katika tamasha la uvumbuzi la Silicon Valley kwa dawa ya saratani
Dec 17, 2025 23:34Mtafiti mmoja kutoka Iran ametwaa medali ya dhahabu katika Tamasha la Kimataifa la Uvumbuzi la Silicon Valley (SVIIF) 2025 huko California, Marekani kufuatia utengenezaji wa dawa bunifu inayochangia katika matibabu ya saratani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya mahasimu kutorudia makosa ya zamani
Dec 17, 2025 09:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema vitisho vipya vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ni sehemu kubwa ya vita vya kisaikolojia, akisisitiza kuwa majaribio ya awali ya kuitisha Iran kwa nguvu za kijeshi au vikwazo hayakuwahi kuzaa matokeo yaliyotarajiwa.
-
Maduro wa Venezuela aisifu Iran kama mfano wa kupigania utawala wa sheria kimataifa
Dec 17, 2025 09:20Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameitaja Iran kuwa mfano bora duniani katika kutetea sheria za kimataifa, akishukuru Jamhuri ya Kiislamu kwa msimamo wake thabiti wa kuiunga mkono Caracas wakati ambapo vitisho kutoka Marekani vinaongezeka.
-
Kushtakiwa viongozi wa utawala wa Kizayuni; takwa la pamoja la mataifa ya Kiislamu
Dec 17, 2025 09:13Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani jinai zinazoendelea kufanywa na Israel huko Ghaza na mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, na amezitaka nchi za ukanda huu na jamii ya kimataifa ichukue hatua kali za kukabiliana na tishio la mara kwa mara la utawala wa Kizayuni dhidi ya amani na utulivu wa eneo hili na dunia nzima kwa ujumla.
-
Waziri wa Mambo ya Nje asisitizia tena azma ya Iran ya kutetea haki zake za kisheria za nyuklia
Dec 17, 2025 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitizia azma ya Jamhuri ya Kiislamu ya kutetea haki zake za kisheria za nyuklia kulingana na Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), akisema sera za nyuklia za Tehran zingali zinaendana na mfumo wa sheria za kimataifa.
-
Qalibaf asisitiza umuhimu wa utafiti katika kutatua matatizo ya kitaifa
Dec 16, 2025 23:21Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa utafiti katika kutatua changamoto na matatizo ya kitaifa.