Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran

    Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran

    Oct 28, 2024 06:54

    Afrika Kusini na Somalia zimelaani vikali shambulio la Jumamosi alfajiri la Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa chokochoko hizo za utawala wa Kizayuni zinatishia usalama wa ukanda mzima wa Asia Magharibi.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran

    Oct 28, 2024 06:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri jana Jumapili ilitoa taarifa na kusema kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Badr Abdelatty amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi na kujadiliana naye kuhusu shambulio la Israel la siku ya Jumamosi dhidi ya baadhi ya maeneo ya Iran.

  • Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Oct 24, 2024 07:19

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amemuenzi na kumpongeza kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela kutokana na jitihada na mapambano yake dhidi ya dhulma na ukandamizaji.

  • Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Aug 29, 2024 02:51

    Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia vifo vya wananchi wa Sudan katika mafuriko + Video

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia vifo vya wananchi wa Sudan katika mafuriko + Video

    Aug 28, 2024 06:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mafuriko nchini Sudan.

  • Pezeshkian: Maingiliano makubwa ya kiutamaduni baina ya Iran na Tanzania ni fursa ya kipekee

    Pezeshkian: Maingiliano makubwa ya kiutamaduni baina ya Iran na Tanzania ni fursa ya kipekee

    Aug 01, 2024 06:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maingiliano makubwa ya kiutamaduni baina ya Iran na baadhi ya maeneo ya Tanzania hasa Zanzibar, ni fursa nzuri ya kustawishwa zaidi na zaidi uhusiano wa nchi hizo mbili.

  • Iran na Sudan zarejesha uhusiano; balozi wa Iran Khartoum akabidhi hati za utambulisho

    Iran na Sudan zarejesha uhusiano; balozi wa Iran Khartoum akabidhi hati za utambulisho

    Jul 22, 2024 03:14

    Kiongozi wa Baraza la Utawala wa Mpito na Mkuu wa Majeshi ya Sudan, Abdul Fattah Al-Burhan, amepokea hati za utambulisho za balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Sudan, Hassan Shah Hosseini.

  • Tunisia yawaondolea visa watalii kutoka Iran

    Tunisia yawaondolea visa watalii kutoka Iran

    Jun 16, 2024 02:36

    Serikali ya Tunisia imeruhusu kuingia bila ya visa watalii wa Iran kuanzia jana Jumamosi.

  • Kaimu Rais wa Iran: Tunafungamana na mkakati wetu wa kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiislamu

    Kaimu Rais wa Iran: Tunafungamana na mkakati wetu wa kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiislamu

    May 27, 2024 12:48

    Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linafungamana kikamilifu na stratejia na mkakati wake wa kuimarisha ushirikiano wake na mataifa ya Kiislamu.

  • Rais Samia aungana na viongozi wa mataifa mengine kumuomboleza Ebrahim Raisi

    Rais Samia aungana na viongozi wa mataifa mengine kumuomboleza Ebrahim Raisi

    May 25, 2024 03:41

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameungana na viongozi wa mataifa mengine duniani kumuomboleza Ebrahim Raisi wa Iran.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh

    Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh

    19 minutes ago
  • Minawi aonya dhidi ya kugawanyika tena Sudan

  • Magaidi watatu vinara wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

  • Qalibaf: Marekani lazima ikubali matokeo ya uchokozi wake wa wazi dhidi ya Iran

  • Afisa wa Yemen: Mtandao wa ujasusi wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unataka kukomesha himaya ya Yemen kwa Palestina

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini China inakosoa hatua za Marekani huko Yemen?

    Kwa nini China inakosoa hatua za Marekani huko Yemen?

    18 minutes ago
  • Kususia Trump mkutano wa G20; sera za mashinikizo au mshikamano na Israel?

    Kususia Trump mkutano wa G20; sera za mashinikizo au mshikamano na Israel?

    14 hours ago
  • Zawadi ya dola trilioni moja kwa Musk mkabala wa njaa inayowakabili Wamarekani milioni 42; Uadilifu au mkanganyiko?

    Zawadi ya dola trilioni moja kwa Musk mkabala wa njaa inayowakabili Wamarekani milioni 42; Uadilifu au mkanganyiko?

    24 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Watu 145 washtakiwa kwa uhaini wakidaiwa kuhusika katika maandamano ya vurugu Tanzania

  • Hizbullah ina uwezo wa kuipiga Israel kwa makombora 7,500 angamizi

  • Iran iko tayari kwa mchakato wa kuzalisha ndege za abiria ilizojibunia yenyewe

  • Afisa wa Yemen: Mtandao wa ujasusi wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unataka kukomesha himaya ya Yemen kwa Palestina

  • Kwa nini New Delhi imekhitari sera ya kuwa karibu zaidi na Tel Aviv?

  • Ehud Barak: Utawala wa Israel umo katika hatari ya kusambaratika kabisa

  • Russia yaimarisha maandalizi ya vita ya nyuklia kufuatia maagizo ya Rais Putin

  • Ni nini takwa la Tehran baada ya Trump kukiri kuhusika Marekani katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?

  • Zawadi ya dola trilioni moja kwa Musk mkabala wa njaa inayowakabili Wamarekani milioni 42; Uadilifu au mkanganyiko?

  • Rais wa Colombia amshambulia Trump: Wewe na marafiki zako ni waongo

  • Mahakama ya Uturuki yatoa waranti wa kukamatwa Netanyahu kwa kutenda jinai Gaza

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS