Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran na Misri zataka kufanyike juhudi madhubuti za kuizuia Israel isiuvamie mji wa Rafah

    Iran na Misri zataka kufanyike juhudi madhubuti za kuizuia Israel isiuvamie mji wa Rafah

    Apr 01, 2024 06:52

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za maana kimataifa ili kuzuia mashambulizi ya kivamizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah wa kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Niger ilivunja mkataba wa kijeshi na Marekani baada ya 'kuonywa' kuhusu uhusiano wake na Iran, Russia

    Niger ilivunja mkataba wa kijeshi na Marekani baada ya 'kuonywa' kuhusu uhusiano wake na Iran, Russia

    Mar 20, 2024 02:43

    Serikali ya Niger iliamua kusitisha makubaliano ya kijeshi na Marekani baada ya ujumbe wa maafisa wakuu wa kijeshi wa Marekani kuitembelea nchi hiyo ya Afrika Magharibi na "kueleza wasiwasi" kuhusu uhusiano wake na Russia na Iran unaokua

  • Abdollahian: Iran ina azma ya kuimarisha uhusiano na Niger

    Abdollahian: Iran ina azma ya kuimarisha uhusiano na Niger

    Mar 18, 2024 13:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa serikali ya Rais Ebrahim Raisi ina hamu ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano na nchi za Afrika ikiwemo Niger.

  • Waziri wa Wanawake Zimbabwe  apongeza ustawi mkubwa wa wanawake wa Iran

    Waziri wa Wanawake Zimbabwe  apongeza ustawi mkubwa wa wanawake wa Iran

    Mar 18, 2024 05:11

    Waziri wa Masuala ya Wanawake, Maendeleo ya Jamii, Biashara Ndogo na za Kati wa Zimbabwe Monica Mutsvangwa amesifu maendeleo yaliyofikiwa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na hatua zinazochukuliwa na serikali ya Iran kuwawezesha wanawake nchini.

  • Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel katika mahakama ya ICJ

    Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel katika mahakama ya ICJ

    Mar 17, 2024 02:55

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza na kuishukuru Afrika Kusini kwa uamuzi wake wa kihistoria wa kuwasilisha kesi dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), kuhusu jinai za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Iran na Sierra Leone kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Iran na Sierra Leone kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Mar 07, 2024 02:32

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Sierra Leone wametilia mkazo wa kuimarishwa zaidi uhusiano wa kiuchumi na kisiasa baina ya nchi zao.

  • Khartoum yakanusha madai kuwa Iran inataka kujenga kambi ya kijeshi Sudan

    Khartoum yakanusha madai kuwa Iran inataka kujenga kambi ya kijeshi Sudan

    Mar 04, 2024 10:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amekadhibisha madai ya gazeti moja la Marekani kwamba Iran imeiomba serikali ya Sudan idhini ya kujenga kituo cha kudumu cha kijeshi katika maji ya Bahari Nyekundu, pwani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Iran: Juhudi za serikali ya 13 ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Afrika

    Iran: Juhudi za serikali ya 13 ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Afrika

    Mar 04, 2024 07:12

    Naibu Waziri wa wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya uchumi amesema kuwa, Wizara ya Mambo ya Nje na balozi za Iran nje ya nchi zinafuatilia kwa dhati maendeleo ya ushirikiano wa kiuchumi na nchi za bara la Afrika.

  • Raisi: Chimbuko la jinai za Wazayuni Ghaza linarejea kwenye miaka 75 ya uvamizi wao

    Raisi: Chimbuko la jinai za Wazayuni Ghaza linarejea kwenye miaka 75 ya uvamizi wao

    Mar 04, 2024 03:34

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kinachojiri leo Ghaza ni mauaji ya kimbari na uhalifu wa kivita, na chimbuko la jinai hiyo linarejea kwenye historia ya miaka 75 ya uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Wazayuni.

  • Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Mar 03, 2024 12:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    3 hours ago
  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

  • "Iran imeazimia kweli kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia"

  • Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

Chaguo La Mhariri
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    8 hours ago
  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    13 hours ago
  • Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jinamizi la kukwama safari za ndege laendelea kuitesa Israel

  • Charles Hillary, aliyewahi kuwa mtangazaji mahiri afariki dunia

  • Foreign Affairs: Dola bilioni 2 za Marekani zimeshindwa kuipigisha magoti Yemen

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Traore: Burkina Faso inataka ustawi wa kasi wa uhusiano na Russia

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • India na Pakistan zashutumiana kuvunja makubaliano ya usitishaji vita

  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Aragchi: Haikubaliki kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Iran huku Israel ikiwa na silaha za nyuklia

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS