-
VIDEO: Askari Mzayuni akiri kuwaua makusudi watoto wa Kipalestina Gaza na anasaka mtoto mchanga pia ili amuue
Dec 29, 2023 03:37Askari mmoja wa jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amekiri kwa fahari kuwa anamsaka mtoto mchanga wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza ili amuue.
-
Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani
Dec 28, 2023 23:00Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'
-
Maelfu ya Wafaransa wanaendelea kumiminika Israel kushiriki vita vya Gaza kwa maslahi ya Wazayuni
Dec 28, 2023 22:57Maelfu ya Wafaransa wanaendelea kusafiri kuelekea Israel kwa ajili ya kushiriki katika vita vya jeshi la utawala huo haramu dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Qassam: Tumeteketeza magari 8 ya deraya ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Dec 28, 2023 08:44Brigedi za Izuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimesema kuwa, zimeteketeza magari manane ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kwenye mapigano yanayoendelea huko Ghaza.
-
Muqawama wa Iraq washambulia 'maeneo muhimu' ya Israel kwenye Miinuko ya Golan ya Syria
Dec 28, 2023 03:16Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umefanya mashambulizi mawili tofauti dhidi ya vituo nyeti na muhimu vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Miinuko ya Golan ya Syria unayoikalia kwa mabavu na kaskazini mwa Iraq katika eneo la Kurdistan.
-
Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa
Dec 28, 2023 00:52Rais Miguel Diaz-Canel wa Cuba amelaani vikali mauaji ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kueleza kwamba, mauaji hayo ya kimbari ni kashfa na fedheha kwa ubinadamu.
-
Wazayuni wakiri kushindwa katika vita vya Gaza
Dec 28, 2023 00:51kuchukua muda mrefu vita vya Gaza kumewafanya, baadhi ya Wazayuni kukiri kushindwa utawala ghasibu wa Israel katika vita vyake vya jinai huko Gaza.
-
Serikali ya Gaza yaituhumu Israel kuwa inaiba viungo vya miili ya mashahidi
Dec 27, 2023 10:42Idara ya Vyombo vya Habari vya serikali ya Ukanda wa Gaza imeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa unaiba viungo vya miili ya Wapalestina wanaouawa katika mashambulizi ya utawala huo kutoka kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, na imetoa wito wa kuundwa kamati huru ya uchunguzi wa kimataifa ya kufuatilia suala hilo.
-
Afisa wa WHO: Tunashuhudia umwagaji damu wa kutisha huko Gaza
Dec 27, 2023 10:37Mratibu wa timu za matibabu ya dharura katika Shirika la Afya Duniani, Sean Casey, ambaye ameshiriki katika operesheni ya kibinadamu katikati mwa Gaza, amesema damu zimetapakaa kila mahali katika hospitali za eneo hilo na kwamba alichokiona huko ni mito ya damu na chinjachija ya binadamu" akisisitiza kwamba hakuna mahali salama katika eneo hilo.
-
Kuendelea jinai za kivita za Israel huko Gaza kwa ushirikiano wa moja kwa moja wa Marekani na serikali ya Biden
Dec 27, 2023 08:07Uvamizi wa utawala ghasibu katika Ukanda wa Gaza umeingia katika siku ya 82. Jeshi la utawala huo ghasibu limeshambulia vikali miji ya Khan Yunis ulioko kusini na Jabalia kaskazini pamoja na wa Gaza ulioko katikati mwa ukanda huo.