-
Haaretz: Nasrullah alikuwa sahihi, Israel ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui
Jul 26, 2023 22:59Gazeti la Haaretz limezungumzia hali mbaya ya kisiasa na kiuchumi inayotawala huko Israel, kukiri kwamba, mtazamo wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon katika kuufananishwa utawala wa Israel na nyumba ya buibui ilikuwa sahihi kabisa.
-
Upigaji kambi wa wapinzani Tel Aviv na matokeo yasiyotabirika kwa hatima ya Israel
Jul 26, 2023 22:58Licha ya ombi binafsi la Joe Biden, marafiki wa Israel ndani ya Marekani, kauli za viongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni na maandamano ya umma, muungano wa mrengo wa kulia wenye misimamo ya kufurutu mpaka wa utawala haramu wa Israel umepitisha katika bunge la Knesset sehemu ya kwanza ya mswada unaojulikana kama "Mageuzi ya Mahakama".
-
Sana'a: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuchukua hatua za kivitendo dhidi ya wanaovunjia heshima matukufu ya kidini
Jul 25, 2023 23:14Baraza la Mawaziri la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetoa wito kwa nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo ili kukabiliana na mashambulizi dhidi ya matukufu ya Kiislamu.
-
Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano
Jul 25, 2023 08:14Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Walowezi wa Kizayuni waendeleza uvamizi dhidi ya matukufu ya Kikristo huko Palestina
Jul 24, 2023 22:56Mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya matukufu ya Kikristo na makanisa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel yamekuwa yakiongezeka katika miezi ya hivi karibuni
-
Haja ya Taliban kutafakari upya vizuizi vya maombolezo ya Muharram
Jul 24, 2023 11:01Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan limeitaka serikali ya wanamgambo wa Taliban kufikiria upya baadhi ya mibinyo na vikwazo ilivyoweka vya kufanya maombolezo ya Muharram.
-
Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023
Jul 24, 2023 07:31Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi mamia ya Wapalestina kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu 2023 hadi sasa.
-
Hamas: Israel ni utawala wa Kifashisti
Jul 24, 2023 01:12Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Israel ni utawala wa kifashisti na kwamba harakati hiyo itaendelea kuwaunga mkono na kuwasaidia wanamapambano wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Iraq: OIC itakutana kujadili kuvunjiwa heshima tena Qur'ani katika nchi za Ulaya
Jul 23, 2023 10:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imetangaza kuwa, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inapanga kufanya kikao cha dharura ili kujadili vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
-
Nasrullah ataka mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kukata uhusiano wa kidiplomasia na Sweden
Jul 23, 2023 04:12Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kukata uhusiano wao wa kidiplomasia na Sweden baada ya kushuhudiwa matukio ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo.