Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Jumapili, Disemba 9, 2018

    Jumapili, Disemba 9, 2018

    Dec 09, 2018 02:48

    Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Saba Rabiuthani 1440 Hijria ambayo inalingana na tarehe 9 Disemba 2018 Miladia.

  • Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Nov 25, 2018 08:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni muhali na jambo lisiloyumkinika kuugawanya mara mbili mji mtukufu wa Quds (Jerusalem).

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yatoa indhari ya kuvamiwa maeneo ya kandokando ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yatoa indhari ya kuvamiwa maeneo ya kandokando ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Nov 22, 2018 08:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetahadharisha kuhusu njama inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuyavamia na kuyakalia kikamilifu maeneo ya kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.

  • Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Nov 19, 2018 04:15

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.

  • Makanisa ya Marekani yalaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo wa Palestina

    Makanisa ya Marekani yalaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo wa Palestina

    Nov 11, 2018 04:37

    Makumi ya makanisa ya nchini Marekani yamemwandikia barua kali waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Mike Pompeo na kumtaka aulazimishe utawala wa Kizayuni ukomeshe vitendo vyake dhidi ya makanisa ya mji wa Quds huko Palestina.

  • Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Nov 06, 2018 08:04

    Misri imesimamisha safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil aliyetazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wiki hii, kulalamikia kitendo cha Rais Mteule wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake ulioko Israel katika mji wa Quds Tukufu.

  • Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Nov 06, 2018 08:00

    Wakuu wa Kanisa Katoliki katika mji wa Quds tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakikosoa misimamo yake ya kibaguzi.

  • Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Nov 02, 2018 08:04

    Rais mteule wa Brazil amekosolewa vikali ndani na nje ya nchi kwa kusema kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Wapalestina zaidi 300 wameuliwa shahidi tangu Quds itangazwe kuwa mji mkuu wa Israel

    Wapalestina zaidi 300 wameuliwa shahidi tangu Quds itangazwe kuwa mji mkuu wa Israel

    Nov 01, 2018 16:21

    Kituo cha Palestina cha Quds cha taaluma za masuala ya Kizayuni kimetangaza kuwa Wapalestina zaidi ya 300 wameuliwa shahidi na askari wa Israel tangu Baitul Muqaddas itangazwe kuwa mji mkuu wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Oct 31, 2018 08:16

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa al-Aqswa wakiwa wanasaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

    Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

    2 hours ago
  • Nchi 80 zalaani mpango wa Israel wa kughusubu Ukingo wa Magharibi

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

  • Iran yamuita balozi wa Ujerumani kulalamikia 'uadui' wa Berlin

  • Kremlin: Jeshi la majini la Russia kuzima 'uharamia' wa Magharibi

Chaguo La Mhariri
  • Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

    Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

    6 hours ago
  • Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    1 day ago
  • Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi

    Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kiongozi Muadhamu amjibu Trump na kusema, Meli za kivita zinaweza kuzamishwa baharini

  • Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz

  • Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz

  • Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva

  • Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo

  • "Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina"

  • Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran

  • Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu

  • Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers

  • Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

  • Araghchi, Grossi wakutana Geneva kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na US

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS