-
Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds
Dec 24, 2018 23:28Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka na za maana ili kusitisha njama za utawala haramu wa Israel za kuuyahudisha mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel
Dec 19, 2018 04:10Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.
-
Wazayuni waendelea kuchimba mashimo kusini mwa Msikiti wa Al-Aqswa
Dec 15, 2018 23:14Wazayuni wamekithirisha njama zao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa kwa kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea msikiti huo mtakatifu.
-
Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel
Dec 15, 2018 03:23Australia imesema inautambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds
Dec 11, 2018 03:45Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.
-
Jumapili, Disemba 9, 2018
Dec 08, 2018 23:18Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Saba Rabiuthani 1440 Hijria ambayo inalingana na tarehe 9 Disemba 2018 Miladia.
-
Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika
Nov 25, 2018 04:37Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni muhali na jambo lisiloyumkinika kuugawanya mara mbili mji mtukufu wa Quds (Jerusalem).
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yatoa indhari ya kuvamiwa maeneo ya kandokando ya Msikiti wa Al-Aqsa
Nov 22, 2018 04:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetahadharisha kuhusu njama inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuyavamia na kuyakalia kikamilifu maeneo ya kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.
-
Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni
Nov 19, 2018 00:45Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.
-
Makanisa ya Marekani yalaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo wa Palestina
Nov 11, 2018 01:07Makumi ya makanisa ya nchini Marekani yamemwandikia barua kali waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Mike Pompeo na kumtaka aulazimishe utawala wa Kizayuni ukomeshe vitendo vyake dhidi ya makanisa ya mji wa Quds huko Palestina.