-
Mazungumzo ya amani ya Burundi yanafanyika leo, serikali ya Bujumbura haishiriki
Oct 24, 2018 08:05Duru ya tano ya mazungumzo ya amani ya Burundi yanayosimamiwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inaanza kufanyika leo mjini Arusha kaskazini mwa Tanzania.
-
Wananchi wa Liberia waandamana kulaani ubakaji katika kituo cha Marekani cha 'More Than Me'
Oct 24, 2018 07:59Wazazi na wanafunzi nchini Liberia wameandamana katika mji mkuu Monrovia kulalamikia na kulaani vitendo vya ubakaji vinavyofanyika katika kituo kimoja cha elimu kinachosimamiwa na Marekani cha "More Than Me" MTM.
-
Polisi ya Guinea Conakry yatumia gesi ya kutoa machozi kukabiliana na waandamanaji
Oct 24, 2018 07:48Polisi ya Guinea Conakry imetumia mabomu ya kutoa machozi kukabiliana na maandamano dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Mahakama maalumu ya jinai yazinduliwa Jamhuri ya Afrika ya Kati + Sauti
Oct 24, 2018 05:55Mahakama maalumu ya jinai za kivita imezinduliwa rasmi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo ni miongoni mwa nchi masikini zaidi duniani. Nchi hiyo ilitumbukia kwenye mgogoro wa kisiasa mwaka 2013 baada ya kuondolewa madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé na waasi wa Seleka. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Upizani Zimbabwe: Rais Mnangagwa hana uhalali wa kuongoza
Oct 24, 2018 02:52Kiongozi wa chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametoa mwito wa kuundwa Mamlaka ya Kitaifa ya Mpito akisisitiza kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro kuhusu uhalali wa serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa.
-
António Guterres asisitiza umuhimu wa kuimarishwa nafasi ya askari wa Umoja wa Mataifa katika kurejesha usalama nchini CAR
Oct 24, 2018 02:51Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ameutaka umoja huo kuimarisha nafasi yake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Amnesty: Watu 52 wameaga dunia wakiwa kizuizini Madagascar
Oct 23, 2018 13:30Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema watu 52 walifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha wakiwa korokoroni wakisubiri kesi zao mwaka jana 2017 nchini Madagascar.
-
Nigeria yaweka amri ya kutotoka nje mjini Kaduna baada ya mapigano ya kikabila kuua watu 55
Oct 23, 2018 06:55Maafisa wa serikali ya Nigeria wametuma kikosi maalumu cha polisi katika jimbo la Kaduna la kaskazini mwa nchi hiyo na kutangaza amri ya masaa 24 ya kutotoka nje baada ya kutokea mapigano ya kikabila yaliyoua makumi ya watu.
-
Ethiopia yasaini makubaliano ya amani na kundi la waasi wa Ogaden
Oct 23, 2018 03:02Ethiopia imesema kuwa imesaini makubaliano ya amani na kundi lililokuwa likipigania kujitenga la Waasi wa Harakati ya Taifa ya Ukombozi wa Ogaden (ONLF) na hivyo kuhitimisha rasmi uasi uliodumu kwa zaidi ya miongo mitatu katika mkoa wa Somalia mashariki mwa nchi hiyo.
-
Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi
Oct 23, 2018 03:02Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Mauritania wameitisha kikao cha pamoja cha kujadili hatima ya Sahara Magharibi inayopigania uhuru wake kutoka kwa Morocco.