-
SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali
Nov 15, 2016 07:07Wanasayansi na watafiti kutoka nchi zinazoendelea wametangaza kwamba wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa fedha hali inayodhoofisha tafiti zinazofanywa kwenye mataifa. Hata hivyo juhudi za hivi karibuni zinaonyesha huenda hali ikabadilika. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kigali na ripoti zaidi
-
SAUTI, Watanzania: Kuchaguliwa Trump kumebainisha kuwa Wamarekani wote wana ubaguzi mioyoni mwao
Nov 10, 2016 13:14Watanzania walio wengi wameonyesha masikitiko yao kufuatia ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani kutokana na kile wanachokidai kuwa ni misimamo hasi ya kibaguzi ambayo mara nyingi alikuwa akiitoa katika kipindi chote cha kampeni.
-
Hatimaye mji wa kihistoria wa Nimrud huko Mosul wakombolewa na jeshi la Iraq kutoka kwa ISIS
Nov 10, 2016 10:09Kamanda wa operesheni za kuukomboa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa wa Nineve (Nainawa), kaskazini mwa Iraq, ametangaza habari ya kukombolewa mji wa kihistoria wa Nimrud ambao mwaka 2014 ulishuhudia uharibifu mkubwa wa wanachama wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Sisitizo la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Nov 09, 2016 23:32Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesisitiza juu ya kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati hiyo na wakati huo huo kutoa wito wa kuendelezwa maandamano ya amani kwa ajili ya kufuatilia matakwa ya harakati hiyo.
-
Karbala wakati huu wa kukaribia Arubaini ya Imam Husain AS 1438 Hijria (2016)
Nov 09, 2016 05:47Picha mbalimbali za Waislamu na wapenzi wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW wakijiandaa kwa ajili ya Arubaini ya Imam Husain AS ambayo itasadifiana na tarehe 21 Novemba 2016 kwa mujibu wa kalenda ya Iraq.
-
Zarif: Kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Nov 08, 2016 12:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.
-
VIDEO: Apewa kadi kwa vituko uwanjani (Kama huwezi kujizuia kucheka usiangalie)
Nov 08, 2016 05:46Ungelihisi vipi kama ungelimuona mwenzako anafanya mchezo mchezoni? Kama ungelimuona anafanya vituko uwanjani? Mtangazaji wa kabumbu hii yeye ameshindwa kujizuia kucheka, lakini mwamuzi alikuwa na mtazamo tofauti! Usiangalie kama kicheko chako kiko karibu.
-
VIDEO: Panya mjanja! Lakini...
Nov 08, 2016 05:36Ukijifanya mjanja, jua kuwa wako wajanja kuliko wewe. Panya huyu alidhani kwa kujificha kwenye tairi la gari ndiyo itakuwa salama yake lakini...
-
SAUTI: Mgogoro wa kisiasa Zanzibar umewafanya Watanzania kuwa na kauli tofauti baada ya kikao cha Rais Magufuli TZ na waandishi wa habari Ijumaa hii
Nov 05, 2016 13:27Baada ya Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kuzungumza na waandishi wa habari Ijumaa hii katika hafla ya kutathmini uongozi wake wa mwaka mmoja tangu achaguliwe kuwa rais, kumekuwepo na kauli tofauti baina ya Watanzania juu ya nukta alizoziashiria rais huyo.
-
SAUTI: Hali ya Tanzania baada ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani
Oct 27, 2016 11:53Radio Tehran imezungumza na baadhi ya Watanzania kuhusu mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, huku changamoto kubwa ya serikali yake ikiwa ni ugumu wa maisha kwa Watanzania.