-
Hizbullah: Ukanda wa Gaza utakuwa kaburi la utawala wa Kizayuni
Oct 21, 2023 23:52Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza hazitapita hivi hivi bila kupatiwa jibu na kusisitiza kuwa, eneo hilo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu litageuka na kugeuka na kuwa kaburi la kuuzika utawala huo bandia.
-
Viongozi wa nchi za Kiarabu walaani mashambulizi ya Israel huko Gaza, wahimiza juhudi mpya za amani Palestina
Oct 21, 2023 23:50Viongozi wa nchi za Kiarabu wametoa wito wa kuanzishwa upya juhudi za amani kati ya Israel na Palestina ili kukomesha uvamizi wa Israel na kutatua mzozo unoendelea kwa miongo kadhaa kati ya pande hizo mbili, huku utawala haramu Israel ukiendeleza mashambulizi ya kikatili dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.
-
Mkutano wa amani wa kutatua mzozo wa Hamas na utawala wa Kizayuni wa Israel unafanyika Cairo
Oct 21, 2023 10:54Mkutano wa kimataifa wa amani umeanza leo asubuhi mjini Cairo, Misri, ambapo viongozi wa kiserikali kutoka mataifa mbalimbali pamoja na taasisi za kimataifa walianza kujadili maendeleo na mustakabali wa mzozo wa utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Misaada ya kwanza ya kibinadamu yaingia Ukanda wa Gaza
Oct 21, 2023 09:57Awamu ya kwanza ya misaada ya kibinadamu imeingia katikak ukanda wa Gaza huko Palestina na kuleta ahueni ya namna fulani kwa wananchi hao wanaokabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu.
-
Uungaji mkono wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa Palestina
Oct 21, 2023 02:46Moja ya matunda muhimu yaliyopatikana kutokana na jinai za kinyama na za kutisha zilizofanywa, na zinazoendelea kufanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kujitokeza msimamo na mwafaka wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu katika kuiunga mkono Palestina.
-
Al-Houthi: Tumo mbioni kushirikiana na ndugu zetu kwa ajili ya ukombozi wa Palestina
Oct 20, 2023 22:56Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza juu ya ulazima wa kuchukuliwa hatua madhubuti ili kukabiliana na nguvu za uovu katika eneo.
-
Madola ya Magharibi yalaumiwa kwa unafiki kuhusu vita vya Gaza
Oct 20, 2023 22:56Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeyatuhumu madola ya Magharibi kwa kile ilichosema kuwa unafiki na undumakuwili kwa kushindwa kukemea jinai zinazofanywa na utawala wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden
Oct 20, 2023 22:54Biden ambaye awali alijiepusha kumwalika Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika Ikulu ya White House, ameshawishika kukubali hila za Netanyahu, ambapo amesimamisha shughuli zake zote huko Marekani na kuamua kumtembelea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika kilele cha uzee wake.
-
Holocaust ya karne mara hii yatekelezwa Gaza
Oct 20, 2023 09:00Wakati dunia ingali katika mshangao wa kushambuliwa kwa mabomu hospitali iliyojaa Wapalestina waliojeruhiwa na jeshi la utawala ghasibu wa Israel, mashambulizi makali ya anga na makombora ya utawala huo yangali yanaendelea dhidi ya Ukanda mzima wa Ghaza kwa wiki ya pili mfululizo.
-
Israel sasa yashambulia makanisa baada ya kushambulia Misikiti na hospitali Ghaza
Oct 20, 2023 03:24Baada ya utawala katili wa Israel kushambulia Misikiti na hospitali za Ukanda wa Ghaza, sasa umeyaelekea makanisa ya ukanda huo na kuua na kujeruhi Wakristo wengi.