Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • UN yapinga vikali mashambulizi ya Wazayuni wa Israel huko Quds

    UN yapinga vikali mashambulizi ya Wazayuni wa Israel huko Quds

    Jan 28, 2019 07:36

    Nickolay Mladinov ambaye ni mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema kuwa mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya kijiji cha kaskazini mwa Quds (Jerusalem) hayakubaliki na yanashtua sana.

  • Onyo la Wapalestina kwa Israel kuhusiana na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa

    Onyo la Wapalestina kwa Israel kuhusiana na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa

    Jan 16, 2019 04:27

    Hujuma na uvamizi wa Wazayuni dhidi ya maeneo matakatifu ya Kiislamu umeshika kasi katika miezi ya hivi karibuni kwa baraka za viongozi wa utawala ghasibu wa Israel.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jan 11, 2019 04:13

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia tena Msikiti wa al-Aqswa wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Jan 03, 2019 03:11

    Televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa manispaa ya utawala huo haramu katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) ina mpango wa kuzuia sauti ya adhana isisikike katika misikiti ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 08:17

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

  • Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Dec 25, 2018 02:58

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka na za maana ili kusitisha njama za utawala haramu wa Israel za kuuyahudisha mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Dec 19, 2018 07:40

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.

  • Wazayuni waendelea kuchimba mashimo kusini mwa Msikiti wa Al-Aqswa

    Wazayuni waendelea kuchimba mashimo kusini mwa Msikiti wa Al-Aqswa

    Dec 16, 2018 02:44

    Wazayuni wamekithirisha njama zao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa kwa kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea msikiti huo mtakatifu.

  • Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Dec 15, 2018 06:53

    Australia imesema inautambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Dec 11, 2018 07:15

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran: Ulimwengu unawajibika kukabiliana na ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    Iran: Ulimwengu unawajibika kukabiliana na ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    2 hours ago
  • Niger na Algeria zatangaza kuanza 'mchakato mpya' baada ya mazungumzo ya ujenzi wa bomba jipya la gesi mjini Algiers

  • Sheikh Qassem: Hizbullah haina lengo la kuanzisha vita, lakini kamwe haitasalimu amri

  • Mawakili wa Morocco wahitimisha mgomo wao baada ya serikali kuunga mkono muswada wa marekebisho

  • Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu

Chaguo La Mhariri
  • Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina

    1 hour ago
  • Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi

    Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi

    7 hours ago
  • Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz

    Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz

    22 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Mvutano waongezeka kati ya Netanyahu na Herzog baada ya Trump kumtusi Rais wa Israel

  • Msemaji wa serikali ya Afghanistan: Tutaiunga mkono Iran kama itakabiliwa na uadui

  • Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz

  • Jenerali Mousavi: Mapambano dhidi ya Iran yatakuwa funzo kwa Trump

  • "Hatuui tu, tunabaka": Mwanajeshi wa Israel aliyeua watu Gaza akiri kufanya uhalifu

  • Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz

  • Sheikh Maher Hammoud:  Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi

  • Watu 10 wauawa katika mashambulizi dhidi ya maeneo ya kijeshi nchini Burkina Faso

  • Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo

  • "Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina"

  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Iran: Mpira uko kwenye uwanja wa Marekani kuthibitisha azma ya kufikia makubaliano ya nyuklia

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS