-
Kwa nini njama zote za Marekani dhidi ya Iran daima zinafeli?
Jan 15, 2026 22:40Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kwamba, watu wa Iran wataendelea kusimama imara kulinda na kutetea nchi yao, akisisitiza kuwa, njama yoyote ya Marekani dhidi ya Iran itashindwa tu kama zilivyoshindwa njama zao zote za huko nyuma.
-
Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?
Jan 15, 2026 07:04Ikiwa ni katika fremu ya uingiliaji wake katika masuala ya ndani ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani amezindua sarakasi mpya ya takwimu kuhusu Iran.
-
Araghchi amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN kuhusiana na machafuko na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki nchini Iran
Jan 15, 2026 06:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki katika machafuko na uvurugaji wa amani uliofanywa hivi karibuni hapa nchini.
-
IRGC yaonya kuhusu majibu makali kwa makosa ya kimahesabu ya Marekani na Israel
Jan 15, 2026 04:17Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya Marekani, Israel na mamluki wao wenye mienendo ya Daesh kwamba kosa lolote la kimahesabu litakabiliwa na majibu makali na ya kuangamiza.
-
Shamkhani: Shambulio la makombora kwenye kambi ya Al-Udeid ni ukumbusho wa azma ya Iran la kujibu mapigo
Jan 15, 2026 03:32Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ameonya kwamba shambulio la makombora la Juni mwaka jana kwenye Kituo cha Anga cha jeshi la Marekani cha Al-Udeid huko Qatar linapaswa kuwa ukumbusho kwa Rais Donald Trump kuhusu azma na uwezo wa Iran wa kujibu kitendo chochote cha uchokozi.
-
Vinara wa mashambulizi ya kigaidi katika ghasia za Iran wakamatwa
Jan 14, 2026 23:10Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imesema inaendelea kuwatambua na kuwakamata vinara wa mashambulizi ya kigaidi hivi karibuni jijini Tehran kwa ushirikiano madhubuti wa wananchi.
-
Iran yawasilisha malalamiko UN kuhusu matamshi ya Trump ya kuchochea vurugu na vitisho vya kijeshi
Jan 14, 2026 23:10Iran imewasilisha malalamiko rasmi kwa Umoja wa Mataifa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, ikimkemea kwa kutoa vitisho vya kijeshi na kuwachochea waandamanaji kuteka taasisi za serikali.
-
Mamilioni wajitokeza katika mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran
Jan 14, 2026 09:27Mamilioni ya Iran leo wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.
-
Iran yajitosheleza katika kutengeneza dawa za kutibu fibrosisi ya mapafu
Jan 14, 2026 08:36Mkurugenzi wa utafiti na maendeleo wa kampuni inayotegemea maarifa nchini Iran ametangaza uzalishaji wa dawa ya Ofenib kwa mara ya kwanza hapa nchini, ambayo hutumika kwa wagonjwa wenye magonjwa ya mapafu ya ndani, hasa fibrosis ya mapafu.
-
Abbas Araghchi: Kauli za uchochezi za Wamarekani ni kuingilia masuala ya ndani ya Iran
Jan 14, 2026 07:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza azma ya taifa hili ya kutetea mamlaka yake ya kitaifa dhidi ya uingiliaji wa kigeni.