-
Mateso ya wakimbizi barani Ulaya
Mar 01, 2016 06:39Wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati hususan Syria wanaendelea kuteseka barani Ulaya.
-
Radiamali ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya uchaguzi
Feb 24, 2016 07:18Uchaguzi katika nchi iliyokumbwa na machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati umemalizika huku kukiwa na hisia tofauti kuhusu uchaguzi huo.
-
Wanasheria wazungumzia kurudiwa uchaguzi Zanzibar
Feb 24, 2016 07:15Wanasheria mbalimbali visiwani Zanzibar wamepinga matamshi ya hivi karibuni ya Jecha Salim Jecha, Mkuu wa Tume ya Uchaguzi visiwani humo ZEC
-
Ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi
Feb 24, 2016 07:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwasili nchini Burundi wiki hii katika juhudi za kuutafutia suluhisho mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Rwanda yataka wakimbizi wa Burundi waondoke
Feb 24, 2016 07:09Rwanda imesema ni lazima wakimbizi wa Burundi walioko kwenye nchi hiyo wahamishiwe kwenye nchi ya tatu.
-
Fedha bandia zaharibu uchumi Tanzania
Feb 22, 2016 07:10Kuwepo uingizwaji wa fedha bandia katika mzunguko wa matumizi ya fedha nchini Tanzania kunatajwa kuwa ni kikwazo katika ustawi wa uchumi wa nchi hiyo
-
Matukio ya wiki ya Kiislamu
Feb 13, 2016 03:16Matukio muhimu ya Kiislamu ukanda wa Afrika Mashariki
-
Serikali ya Kenya: Tuko imara katika ugatuzi
Feb 13, 2016 03:07Serikali ya Kenya imesisitiza kwamba kwamba ipo imara kuimarisha ugatuzi kinyume na madai yanayotolewa na wapinzani.
-
Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto
Feb 13, 2016 03:02Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Uganda zimepamba moto, huku kila mgomea akizidi kunadi sera zake.
-
Rais wa Tanzania atimiza siku 100 akiwa madarakani (Sauti)
Feb 11, 2016 14:53Wakati siku mia moja za rais mpya wa Tanzania DK, John Pombe Magufuli madarakani zikitimia,Watanzania wamemtaka rais huyo kuongeza kasi ya kuwabana mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hiyo bila kuwaonea huruma.