-
VIDEO: Wananchi wa Syria wakisherehekea kukombolewa Halab (Allepo)
Dec 23, 2016 03:45Mji wa Halab yaani Aleppo huko kaskazini mwa Syria hivi sasa umesafishwa kikamilifu baada ya magaidi kufurushwa katika mji huo baada ya kuteka baadhi ya maeneo yake na kufanya jinai kwa muda wa miaka minne.
-
Magaidi wasafishwa kikamilifu katika mji wa Halab Syria, wananchi washerehekea + Video
Dec 23, 2016 00:35Mji wa Halab yaani Aleppo huko kaskazini mwa Syria hivi sasa umesafishwa kikamilifu baada ya magaidi kufurushwa katika mji huo baada ya kuteka baadhi ya maeneo yake na kufanya jinai kwa muda wa zaidi ya miaka minne.
-
SAUTI: Mahojiano na Naibu Mufti wa Malawi kuhusu Umoja wa Waislamu
Dec 20, 2016 07:27Mkutano wa 30 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu ulimalizika Jumamosi usiku mjini Tehran kwa taarifa iliyosisitiza ulazima wa kuwepo mshikamano katika ulimwengu wa Kiislamu na kuchukuliwa tahadhari dhidi ya njama za maadui za kuibua mifarakano katika nchi za Kiislamu.
-
SAUTI: Ziara ya Rais wa Misri nchini Uganda
Dec 20, 2016 07:26Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri amefanya ziara nchini Uganda na kuonana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo na kujadiliana nao masuala muhimu ya pande mbili ikiwemo mikakati ya kutumia vizuri maji ya mto Nile. Mwandishi wa Raido Tehran na ripoti zaidi kutoka mjini Kampala.
-
SAUTI: Mgomo wa madaktari waendelea nchini Kenya
Dec 07, 2016 15:27Mgomo wa madaktari unaendelea nchini Kenya huku wagonjwa zaidi wakiripotiwa kupoteza maisha kutokana na ukosefu wa huduma katika hospitali za umma. Mwandishi wetu Seifullah Murtadha anaripoti kutoka Mombasa, Kenya.
-
Sisitizo la Iran juu ya udharura wa kusafishwa ulimwengu na silaha za atomiki
Dec 07, 2016 00:25Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (IAEO) amesema katika hotuba yake kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Usalama wa Nyuklia unaofanyika mjini Vienna, Austria kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono mkubwa wa kuweko ulimwengu usio na silaha za nyuklia.
-
SAUTI: Wagonjwa wa akili wakimbia hospitalini Kenya
Dec 06, 2016 08:42Huku mgomo wa madaktari ukiendelea nchini Kenya, zaidi ya wagonjwa mia moja wa akili wameripotiwa kutoroka hospitalini. Mwandishi wa Radio Tehran amefuatilia habari hiyo na kutuandalia ripoti ifuatayo...
-
SAUTI: Wasiwasi wa kuanza wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya
Nov 30, 2016 14:45Idara ya polisi Kenya imetoa tahadhari kufuatia njama ya kundi la Al Shabaab na kundi la kitakfiri la Daesh kupanga kuvamia magari ya umma katika maeneo ya mipaka pamoja na miji ya pwani kama vile Mombasa. Kenya imekuwa ikishambuliwa na magaidi tangu kikosi cha jeshi lake kuelekea nchini Somalia kusaidia kulinda amani katika ngome zinazokaliwa kimabavu na wafuasi wa kundi la ash Shabab.
-
SAUTI: Mikataba mibovu, rushwa na uongozi mbaya chanzo cha umaskini Afrika
Nov 26, 2016 04:07Mikataba mibovu, rushwa na kushindwa viongozi kusimamia miongozo ya kiuchumi katika nchi za Afrika kumetajwa kuwa ndicho chanzo za kuzifanya nchi hizo zishindwe kujikomboa kimaendelea na kufanya wananchi wake walio wengi waishi katika umaskini wa kupindukia.
-
SAUTI: Wakulima wa Uganda na Kenya washauriwa kutumia kilimo bora
Nov 16, 2016 06:25Wakulima nchini Uganda na Kenya wameshauriwa kutumia kilimo bora cha uzalishaji mazao yanayotumiwa sana na raia wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa lengo la kukabiliana na njaa. Aidha wakulima hao wametakiwa kulima vyakula ambavyo ni rahisi kwa kilimo na mavuno. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.