Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 03:53

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

  • Ghana ni kituo kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazouzwa barani Afrika

    Ghana ni kituo kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazouzwa barani Afrika

    Nov 26, 2023 02:24

    Msemaji wa Kamisheni ya Ustawi wa Biashara ya Chama cha Viwanda, Madini na Biashara cha Iran ametangaza kuwa, Ghana ni kituo cha kwanza kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazopelekwa barani Afrika.

  • Rais Raisi: Hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la UN kutekeleza jukumu la kulinda amani ya dunia

    Rais Raisi: Hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la UN kutekeleza jukumu la kulinda amani ya dunia

    Oct 23, 2023 03:02

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini kuwa, hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutekeleza jukumu lake la kulinda amani ya dunia.

  • Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Oct 22, 2023 15:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini kwamba: Hii leo dunia inashuhudia jinai zinazofanywa na utawala wa kibaguzi na muuaji wa watoto wachanga dhidi ya watu wa Gaza.

  • Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Oct 19, 2023 06:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Tunisia mjini Jeddah, Saudi Arabia na pande mbili zimejadiliana njia za kuwasaidia wananchi wa Ghaza na kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Oct 14, 2023 14:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusisitiza kuwa, Palestina na Ghaza ni dhihirisho la nguvu za Uislamu.

  • Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Oct 12, 2023 13:38

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

  • Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Oct 12, 2023 13:35

    Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

  • Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Oct 10, 2023 07:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, karibuni hivi Iran na Sudan zitafungua tena balozi zao baada ya nchi hizo mbili kukamilisha mchakato wa kurejesha uhusiano wa kidipolmasia.

  • Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Sep 30, 2023 07:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuimarisha uhusiano na maelewano ya pande mbili kati yake na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

    Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

    56 minutes ago
  • Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

  • Uchunguzi wa maoni: Sura ya Marekani imeporomoka duniani kote

  • Jenerali wa zamani aonya: Israel imegeuka kutoka kuwa mali na kuwa mzigo kwa Marekani

  • Ripoti: Matajiri dunia wamesababisha theluthi mbili ya mabadiliko ya hali ya hewa

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    5 hours ago
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    1 day ago
  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jinamizi la kukwama safari za ndege laendelea kuitesa Israel

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Foreign Affairs: Dola bilioni 2 za Marekani zimeshindwa kuipigisha magoti Yemen

  • Traore: Burkina Faso inataka ustawi wa kasi wa uhusiano na Russia

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

  • India na Pakistan zashutumiana kuvunja makubaliano ya usitishaji vita

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Aragchi: Haikubaliki kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Iran huku Israel ikiwa na silaha za nyuklia

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS