Asia Magharibi
  • Jeshi la Yemen: Meli mbili zinazozama ni zawadi yetu ya Idi kwa muqawama wa Palestina

    Jeshi la Yemen: Meli mbili zinazozama ni zawadi yetu ya Idi kwa muqawama wa Palestina

    Jun 16, 2024 23:49

    Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa, meli mbili zinazozama ni zawadi ya Eid al-Adh'haa ya jeshi la Yemen kwa muqawama wa Palestina kutokana na kusimama kwao kidete.

  • Kundi la Taliban kushiriki mkutano wa Doha Qatar

    Kundi la Taliban kushiriki mkutano wa Doha Qatar

    Jun 16, 2024 23:46

    Serikali inayoongozwa na kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan imetangaza rasmi nia yake ya kutuma wajumbe katika mkutano wa Doha Qatar utakaozungumzia hali ya taifa hilo.

  • Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Jun 16, 2024 22:57

    Katika msimu huu wa ibada tukufu ya Hija, watawala wa Saudi Arabia wamejaribu kutisha, kuchochea chuki na kuwachafulia jina mahujaji wanaoonyesha mshikamano na watu wa Palestina huku kukiwa na malalamiko ya kimataifa kuhusu vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo

    Jun 16, 2024 06:30

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.

  • Kiongozi wa upinzani wa Israel ataka kuuzuliwa Netanyahu

    Kiongozi wa upinzani wa Israel ataka kuuzuliwa Netanyahu

    Jun 16, 2024 04:07

    Kinara wa upinzani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema wakati umefika wa kuiangusha serikali ya utawala huo inayoongozwa na Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu.

  • Je, utawala wa Israel utaangukia kwenye mtego wa Hizbullah ya Lebanon au la?

    Je, utawala wa Israel utaangukia kwenye mtego wa Hizbullah ya Lebanon au la?

    Jun 16, 2024 03:56

    Kufuatia kuongezeka minong'ono ya vyombo vya habari na kisiasa kuhusu uwezekano wa jeshi la utawala haramu wa Israel kuanzisha mashambulizi ya pande zote kusini mwa Lebanon, uvumi umeenea kuwa Hizbullah imejiandaa vilivyo kutoa pigo kali la kulipiza kisasi dhidi ya utawala huo wa kigaidi iwapo utafanya mashambilizi hayo.

  • Tovuti ya Kizayuni: Hizbullah inatumia akili mnemba katika droni zake

    Tovuti ya Kizayuni: Hizbullah inatumia akili mnemba katika droni zake

    Jun 16, 2024 03:04

    Tovuti ya Walla ya lugha ya Kiebrania imekiri katika ripoti yake mpya kabisa kwamba harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imeweza kupenya kwenye ukuta wa ulinzi wa jeshi la Israel kwa droni na ndege zake zisizo na rubani na kuchota taarifa za kijasusi.

  • Hizbullah yayatwanga tena kwa makombora maeneo ya Wazayuni

    Hizbullah yayatwanga tena kwa makombora maeneo ya Wazayuni

    Jun 15, 2024 23:14

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulio mapya dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuuni ikiwa ni kujibu mauaji ya hivi karibuni ya Israel ya kamanda mmoja mkubwa wa harakati hiyo huko kusini mwa Lebanon.

  • Kambi ya kijeshi ya Israel yateketea kwa moto baada ya kushambuliwa na HAMAS

    Kambi ya kijeshi ya Israel yateketea kwa moto baada ya kushambuliwa na HAMAS

    Jun 15, 2024 23:12

    Duru za habari zimetangaza kuwa, kambi moja ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni karibu na Ukanda wa Ghaza imeteketea kwa moto baada ya kushambuliwa na wanamapambano wa Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.