Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Misri karibuni

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Misri karibuni

    Jan 22, 2024 12:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian anataziwa kuitembelea Misri ndani ya siku chache zijazo, huku utawala wa Kizayuni ukiingiwa na kiwewe kutokana na kuendelea kuimarika uhusiano wa Tehran na Cairo.

  • Raisi: Iran inaunga mkono kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Raisi: Iran inaunga mkono kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Jan 22, 2024 07:31

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono uamuzi wa 'busara' na wa 'kihistoria' wa Afrika Kusini wa kuwasilisha kesi dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), kuhusu jinai za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Kikao cha leo cha wakuu wa NAM Uganda; Iran yataka jumuiya hiyo itilie mkazo kuihami Palestina

    Kikao cha leo cha wakuu wa NAM Uganda; Iran yataka jumuiya hiyo itilie mkazo kuihami Palestina

    Jan 19, 2024 07:38

    Mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM unafanyika leo katika mji mkuu wa Uganda, Kamapala huku Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwataka wanachama wa jumuiya hiyo kutilia mkazo uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran kushiriki mkutano wa NAM Uganda

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran kushiriki mkutano wa NAM Uganda

    Jan 19, 2024 03:31

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kwenda Kampala, mji mkuu wa Uganda kuhudhuria Mkutano wa 19 wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).

  • Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha

    Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha

    Jan 08, 2024 03:48

    Kumbukumbu za kutimia mwaka wa nne tangu kuuliwa shahidi Luteni jenerali Shahidi Qassim Suleiman zimefanyika katika miji mikuu ya Nigeria na Ghana yaani huko Abuja na Accra kwa kuhudhuriwa na Waislamau wa matabaka mbalimbali na wafuasi wa kamanda huyo.

  • "Iran na Misri kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia karibuni"

    Dec 30, 2023 12:09

    Afisa wa ngazi za juu wa Misri amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na Iran zinatazamiwa kufufua kikamilifu uhusiano wa pande mbili wa kidiplomasia, na hata kubadilishana mabalozi.

  • Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano

    Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano

    Dec 24, 2023 08:14

    Jana Jumamosi, Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alizungumza kwa simu na Rais Abdel Fattah El Sisi wa Misri, ikiwa ni mara ya kwanza kwa marais wa nchi hizi mbili kuzungumza kwa simu na ikiwa ni katika sehemu ya juhudi za kufufua uhusiano wa pande mbili.

  • Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Dec 24, 2023 02:38

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na rais mwenzake wa Misri na kutilia mkazo udharura wa kustawishwa uhusiano wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Dec 21, 2023 03:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Afrika Kusini na kujadiliana naye masuala mbalimbali muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa na hasa vita vya Ghaza huko Palestina.

  • Ayatullah Ramezani: Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa mujahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Ayatullah Ramezani: Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa mujahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Dec 20, 2023 15:28

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) amekutana na kufanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusema kuwa, Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa Mujahid fi Sabilillah (mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu).

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    14 hours ago
  • Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds

  • "Iran imeazimia kweli kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia"

  • Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

Chaguo La Mhariri
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

    18 hours ago
  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    24 hours ago
  • Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jinamizi la kukwama safari za ndege laendelea kuitesa Israel

  • Charles Hillary, aliyewahi kuwa mtangazaji mahiri afariki dunia

  • Foreign Affairs: Dola bilioni 2 za Marekani zimeshindwa kuipigisha magoti Yemen

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Traore: Burkina Faso inataka ustawi wa kasi wa uhusiano na Russia

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

  • India na Pakistan zashutumiana kuvunja makubaliano ya usitishaji vita

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Aragchi: Haikubaliki kuwa na wasiwasi kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Iran huku Israel ikiwa na silaha za nyuklia

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS